Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida


Kama uislamu ndoo huu unaousema wewe, hata wew hutoboi bro
 
Na wewe unareply nini sasa ujinga tu au na wewe ni mchawi sijakulazimisha kuandika hapa
Una makasiriko sana tunajaribu kukuweka sawa au unataka tukupe baadhi ta matukio ya umafia yanayoyofanywa na matajiri ili ufunge kabisa vidole vyako visije tena kuandika hoja za kuwatetea?
 
Yeye kaifanyia nini nchi hii?
 
Kunywa azama ukwaju utulize wenge,dini ni ushamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…