Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Bakhresa muogope Mungu wako. Uwiano wa hasara ni mkubwa kuliko faida

Vipi kuhusu wewe uliyeandika huu Uzi,je umewahi fanikiwa kujenga walau madrasa moja hata ile ndogo ya kufundisha watoto 50?
 
Nani kakwambia kuwa mtandao ni wa makafiri au simu ni ya makafiri.Tumezungumza huko nyuma kuwa chanzo cha uelewa wa yote haya ni elimu iliyoratibiwa na waislamu.
Kwa maana hiyo elimu tuliyonayo ni milki ya Allah.Wazungu baada ya kusoma wameongozwa tu kujua kile Allah alichoridhia kijulikane na kwa hekima zake.Haya tunayoyajua leo ni madogo kuliko yatakayojulikana kesho yetu.Muda yawezekana yakapitia kwa wazungu wenye nia nzuri au kwa waislamu wenyewe watakapozinduka kutoka usingizini.
Mitandao na simu ni nyenzo za kupashana habari za Mwenyezi Mungu ili kila mmoja amjua na amuabudu.Hapo baadae kusiwe na kisingizio kuwa hakusikia au hakujua.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nani kakwambia kuwa mtandao ni wa makafiri au simu ni ya makafiri.Tumezungumza huko nyuma kuwa chanzo cha uelewa wa yote haya ni elimu iliyoratibiwa na waislamu.
Kwa maana hiyo elimu tuliyonayo ni milki ya Allah.Wazungu baada ya kusoma wameongozwa tu kujua kile Allah alichoridhia kijulikane na kwa hekima zake.Haya tunayoyajua leo ni madogo kuliko yatakayojulikana kesho yetu.Muda yawezekana yakapitia kwa wazungu wenye nia nzuri au kwa waislamu wenyewe watakapozinduka kutoka usingizini.
Mitandao na simu ni nyenzo za kupashana habari za Mwenyezi Mungu ili kila mmoja amjua na amuabudu.Hapo baadae kusiwe na kisingizio kuwa hakusikia au hakujua.
Watu wa dini ni kichekesho cha ulimwengu kwelikweli. Dini zimekuja juzi hapo hata vitabu vyake vikaandikwa kwa utaalamu uliokuwepo kabla ya dini zenyewe halafu tasikia mtu aliyevimbiwa makande eti dini fulani imeleta hiki na kile
 
Katika historia ya utajiri wako ulianza kwa kushona viatu. Baadae ukaanza kuuza karanga na mikate. Allah kwa shani zake akakuzia biashara zako mpaka sasa unamiliki makampuni yaliyotanda nchi kadhaa za kiafrika na unajulikana dunia nzima kama mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika.

Utajiri wa viwanda vya ngano na vyenginevyo halali umeona havikutoshi umejiingiza kwenye biashara ya mpira na kupotoa watu kwa michezo ya kuigiza ya kipuuzi kutoka Uturuki, Korea na kwengineko.

Unawanyonya sana akina mama kiuchumi kwa kununua visembuzi vyako na kujaza salio. Na kwa upande wa akina baba unawajaza kwenye viwanja na mabanda ya kuangalia vidio mpaka wanakuwa kama wendawazimu kuangalia ligi mwaka mzima zinazofadhiliwa mpaka na makampuni ya bia.

Nasikia wewe ndiye uliyefadhili ujenzi wa msikiti mkubwa wa Mtoro karibu na nyumbani kwako pale mtaa wa Livingstone. Kuna na misikiti mengine umejenga kimya kimya na hata pitalu huwa unagawa nyakati za alfajiri.
Kwa hesabu za kidunia wale wanaongia msikitini kuswali Mtoro na wale wanaoacha kuswali kwa kuangalia mipira ya dunia nzima basi wanaingia msikiti ni wachache sana.

Mezani ya wema unaofanya kujenga misikiti michache na kuwapotosha mamilioni ya watu havilingani kabisa.
Wacha biashara hizo haramu na urudi kwenye uchumi halali bado upo hai. Biashara haramu waachie makafiri wazifanye.
Watoto na mali ni fitna sana.
Allahu a'alam,

DOGO PAMBANA NA HALI YAKO.... TAFUTA PESA.
 
Halafu anawaua wananchi kwa kuwauzia bidhaa za kemikali kama vile juice na ukwaju vitu ambavyo havina uhalisia katika hali halisi. Anawatilia watu harufu za maembe na ukwaju kwenye vyakula jivyo ili kuwaua kwa makusudi. Mungu anamuaona.
Acha uongo na roho mbaya 😡. Hujawahi kunywa juice ya viwandani wewe? Mimi nina zaidi ya 10 yrs nakunywa juice za Azam, grant malt, coco pine, embe juice n.k hayo madhara mbona siyaoni? Kwa uelewa wangu yawezekana umeanzisha biashara ya kukamua juice ya miwa na wateja ni wachache hivyo hasara ni kila siku, tafuta share partner uwe unasindika pia ziizinishwe na TBL na TFDA
 
Back
Top Bottom