MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,058
- 1,373
Nimekua nikisumbuliwa sana na hili jina Albino wakati tangu nazaliwa karibia nusu karne sasa, Neno sahihi la kiswahili ni Zeruzeru. Sijaona ubaya wa neno hilo jamani. Albino sio neno la kiswahili, ni neno la kingereza.
Swali langu, ni kwanini BAKITA = BARAZA LA KISWAHILI TANZANIA, Wamekaa kimya tu kwa upotoshaji huu mkubwa sana.
Swali langu, ni kwanini BAKITA = BARAZA LA KISWAHILI TANZANIA, Wamekaa kimya tu kwa upotoshaji huu mkubwa sana.