BAKWATA ichunguze Msikiti wa Kingo unaojengwa Morogoro

BAKWATA ichunguze Msikiti wa Kingo unaojengwa Morogoro

starmoon

New Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
2
Reaction score
1
Asalaam Aleykum warahmatullahi wabarakatu.

Kwa heshima na Taadhima, nawaomba Baraza la malumaa pamoja na Mwenyekiti wao wauchunguze msikiti huu wa Kingo uliyopo Morogoro ambao hivi sasa upo kwenye ujenzi.Nawapongeza sana kwa hatua waliofikia.

Tatizo kubwa la msikiti huu pamoja na kuwa na imamu ,lakini haonekani kabisa kwenye swala ya Alfajiri kiasi cha kuwaachia watu ambao hawafikia kiwango cha kuwa Imam, pia hawaijui vizuri wala hawana CV za kuwa maimamu.Sisi tunaoswali alfajiri ndio tunaona.

Hata siku moja Imamu hajafika kutuswalisha.Basi hata angechagua Imamu msaidizi ili aindeshe swala hii muhimu.Hivi sasa Imamu anayetuswalisha anakuja ili apate sifa lakini hajafikia kuitwa Imamu.

Tunaogopa Allah asije kuzikataa swala zetu wakati wapo wanaofaa kuwa maimamu. sisi maamuma kwa kuwa tunamjua anayetuswalisha hana vigezo na hii sio fitinna wala chuki.

Hivyo nawaomba sana Bakwata na Mufti waliangalie swala hili.Tunajua msikiti huu unao maaustadh na masheikh wengi lakini kiutaratibu lazima Imamu atoe Rukhsa.

Mwisho tunaomba Bakwata makao makuu waje wenyewe kuthibitisha wa hadha Asalaalaam Aleykum warahmatullah wanarakatu.
 
Kuna muislam mwenzenua aliniambia nyie katika uislam yeyote anaweza kuswalisha, sasa unalalamika nini na kuanza kuleta mambo ya cv?
Mkuu kama huna kitu positive cha kuchangia mijadala achana nayo. Umeleta kashfa za kidini za nini?
Yaani wewe unaumia kila ukisikia chochote kinachohusu uislam. Shida yako nini? Jifunze kuwa na religious tolerance.
 
Vitu vingine unasoma unakaa kimya. Sasa ulichoandika na mada yake vinahusu nini?
Una chuki ya kidini sana katika zama hizi za dot com, inakusaidia nini?
Unaweza kusababisha matusi bure mwingine akaja akaamza kutukana na kukashifu dini nyingine. Grow up
zama za dot com ni za kuongelea upuuzi wa dini? Eti cv ya kuswalisha! Are serious?
 
zama za dot com ni za kuongelea upuuzi wa dini? Eti cv ya kuswalisha! Are serious?
Dini ni sehemu ya maisha ya wanadamu. Usijitie upofu kuignore dini, unaweza kuignore wewe lakini si watu wote watakuwa kama wewe.
 
Kuna mpuuzi mmoja hapo juu mahindi hayaoti mjini kanilambisha dislike, naona ni imaam asiye na cv ya kuswalisha huyo
 
Dini ni sehemu ya maisha ya wanadamu. Usijitie upofu kuignore dini, unaweza kuignore wewe lakini si watu wote watakuwa kama wewe.
we huoni kuwa ni upotofu wa akili za watu? Endelea kung'ang'ana na dini uliyopokea mpaka akili ije ikukae sawa utakuwa umeharibika ufahamu wako na utakuwa huna tiba, umeoshwa akili
 
Kuna watu ni wapuuzi wa mambo ya dini na imani, wanadhani dini na imani ni milki yao binafsi, wanajimilikisha dini na imani na kuihodhi kuwa wanaijua sana na wana uchungu nayo kumbe ni uendawazimu tu
 
Kuna watu ni wapuuzi wa mambo ya dini na imani, wanadhani dini na imani ni milki yao binafsi, wanajimilikisha dini na imani na kuihodhi kuwa wanaijua sana na wana uchungu nayo kumbe ni uendawazimu tu
We ni mwendazimu wa kwanza, kama huamini kuhusu Mungu basi fanya utakalo,,,,!!!

Kama unajikuta mjanja na mwenye akili basi fanya namna usife, fanya namna upate unachokihitaji kwa wakati utakao na umba unachotaka kwa uwezo wako.

Ukifanikiwa we utakuwa ni best zaidi ya wote ulimwenguni na itathibitisha kama hakuna Mungu,

Na ukifeli basi tambua wewe si lolote na si chochote duniani,,,,,!!!!!
 
We ni mwendazimu wa kwanza, kama huamini kuhusu Mungu basi fanya utakalo...
aliyekuambia kuwa siamini mungu ni nani mpaka unitolee povu? Kwanza umeingilia mnyukano haukuwa wako, una kiherere acha kudandia mtumbwi usiouelewa
 
huna mamlaka ya kuzuia kuchangia jinsi usivyopenda, acha kiherere cha kutokwa povu
Yaani we ungekuwa na akili, basi ungeanzisha hata jukwaa lako kama JF,,,,.!!!!

yaani waliokuzidi uvumbuzi, maendeleo na maono wanaamini kuhusu Mungu halafu we mpuuzi mmoja unajiona mwamba with nothing eti unajikuta mjanja na kupinga uwepo wake,,,,,!!!!

Haya we mwenye akili tengeneza oksijeni yako, utumie pekee yako, tengeneza ardhi yako uishi peke ako au na wafuasi wako!

Usijidanganye we si kitu kwenye masuala ya kiimani na kuprove wrong kuhusu uwepo wa Mungu
 
aliyekuambia kuwa siamini mungu ni nani mpaka unitolee povu? Kwanza umeingilia mnyukano haukuwa wako, una kiherere acha kudandia mtumbwi usiouelewa
Haya twende na upande unaoamini uko sawa,,,,,!!!!!

Eleza mazuri ya imani yako isiyo na mapungufu au ni nzuri zaidi kuushinda uislamu!!!!!
 
yaani we ungekuwa na akili, basi ungeanzisha hata jukwaa lako kama JF,,,,.!!!!

yaani waliokuzidi uvumbuzi, maendeleo na maono wanaamini kuhusu Mungu halafu we mpuuzi mmoja unajiona mwamba with nothing eti unajikuta mjanja na kupinga uwepo wake...
kama we una imani hamisha mlima kilimanjaro utoke huko uliko wakenya wanajisifu upo kwao, upeleke dodoma katikati ya nchi. Huna imani kaa kimya acha kubishana na mtu mwenye akili kubwa kuliko wewe
 
mko wapuuzi kama watatu hivi, tulieni niwape kifinyo mpaka akili ziwakae sawa. Ongezekeni kunichangia kifinyo mtakipata
Mi mwenyewe nakutamani sana tu,. Najua hauna hoja ya msingi ya kunishinda, we upo katika njia ya upotevu tu,,,,!!!!

hauna akili kunizidi, mouvu kunizidi, yaani we kisisimizi kidogo tu kwangu
 
Walevi wa dini kaeni pembeni kama hamna mada murua za kuleta humu
 
kama we una imani hamisha mlima kilimanjaro utoke huko uliko wakenya wanajisifu upo kwao, upeleke dodoma katikati ya nchi. Huna imani kaa kimya acha kubishana na mtu mwenye akili kubwa kuliko wewe
Imani inasema kila kitu kimeumbwa kwa makadirio,,,,!!!!

Hilo haliwezekani,,,,,!!!!


Haya kwa upande wako wewe, mwenye akili uchwara,. Unda tu mtandao kama facebook,,,,!!!!
 
Back
Top Bottom