BAKWATA ichunguze Msikiti wa Kingo unaojengwa Morogoro

BAKWATA ichunguze Msikiti wa Kingo unaojengwa Morogoro

Imani inasema kila kitu kimeumbwa kwa makadirio!

Hilo haliwezekani.

Haya kwa upande wako wewe, mwenye akili uchwara,. Unda tu mtandao kama facebook,,,,!!!!
mbona unajititimua sana kujua mambo ya imani wakati nakuona hata definition ya imani ni nini unashindwa kueleza? Hebu kakojoe ulale, una akili ndogo huwezi kujenga hoja murua
 
mbona unajititimua sana kujua mambo ya imani wakati nakuona hata definition ya imani ni nini unashindwa kueleza? Hebu kakojoe ulale, una akili ndogo huwezi kujenga hoja murua
najua tu hauna kitu utaweza fanya zaidi ya porojo,,,,!!!

We ni mjinga tu,,,,,!!!!
 
Mi mwenyewe nakutamani sana tu,. Najua hauna hoja ya msingi ya kunishinda, we upo katika njia ya upotevu tu,,,,!!!!

hauna akili kunizidi, mouvu kunizidi, yaani we kisisimizi kidogo tu kwangu
we umesoma madrasa ya wapi, mbona ni mpuuzi hivi? Unashindwa kujidadavua na kujifaragua vema hoja yako ieleweke, umejaa utopolo mtupu unaandika
 
Mi sipendi maneno mengi kama wewe, we lete proves na verification zako, nikugonge,,,,!!!!
Nimekuambia lala, wajua umendandia mnyukano haukuwa wako? Mwenye mnyukano kakaa kimya anasoma tu unavyomsaidia kwenye ligi hii unayoiendeleza wewe
 
Haya twende na upande unaoamini uko sawa,,,,,!!!!!

Eleza mazuri ya imani yako isiyo na mapungufu au ni nzuri zaidi kuushinda uislamu!!!!!
kwanza una cheo kikubwa humu, heshimu cheo chako uheshimike, sitaki mnyukano na wewe mtu mzima 'senior', halafu unajiita kiwembe cha kichina, shame on you
 
Jitu lina id mbili humu lingine lina tatu linaandika utopolo
 
nimekuambia lala, wajua umendandia mnyukano haukuwa wako? Mwenye mnyukano kakaa kimya anasoma tu unavyomsaidia kwenye ligi hii unayoiendeleza wewe
acha maneno mengi mzee,,,,,
kwanza una cheo kikubwa humu, heshimu cheo chako uheshimike, sitaki mnyukano na wewe mtu mzima 'senior', halafu unajiita kiwembe cha kichina, shame on you
We kweli punguani, hayo yanauhusiano gani na mada,,,,,????

Nadhani unalazimisha kunitoa kwenye mada aidha kwa kujua unachofanya au kutokujua,,,,!!!

We bado mtoto mdogo kwenye utambuzi wa mambo.
 
Nyie wote labda kwa namna moja au nyingine hamujanielewa.dini ya kiislamu,waulizeni maulamaa na masheikh wakubwa wenye elimu ya kiislamu.Imamu ni lazima awe mwadilifu,asiwe mzinifu,n.k ndio maana anakuwa na CV.Sio kila mtu anakuwa imamu kama afanyavyo huyu,isitoshe anao vijana wengi waliosomea dini kwa nini hawatumii?Anamtumia mtu hafai..Huo ndio ukweli.Chunguzeni ndio mtoe maoni yenu
 
Back
Top Bottom