BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

BAKWATA iingilie kati uvaaji wa wanawake wakiwa JKT

Serikali haina dini..hii ni kwa mujibu wa katiba

Hujui kitu mh.

Katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kuabudu nchi hii.
Mabinti zetu anakwenda jkt wana imani tofauti. Wengine kwao walistahili kuvaa uniform zinazoendanda na haki ya kikatiba ya uhuru wa kuabudu.

Kama katiba inatoa uhuru wa kuabudu. Ktk katiba hiyo isiyo na dini hivyo itikadi ya kutokuwa na dini kunaminya haki ya kuabudu; hivyo kipengeleke cha taifa kutokuwa na dini, kinakinzana na kipengele cha katiba cha uhuru wa kuabudu.

Hivyo kutokuwa na dini ni unconstitutional. Sijui kama unaelewa hilo.

Ndio maana tunahitaji dhana ya kuundwa kwa serikali ya dini zote.

Na kimsingi ndio maana halisi ya serikali kutokuwa na dini.

Kwa maana serikali isiyo na dini ni sawa na kuwa na serikali ya dini zote.

Jiulize tena; Kwa nini katika teuzi za watendaji hatuoni watz wenye asili ya Asia wakipata uteuzi.

Huoni kuwa huo ni ubaguzi.

Ndio Serikali isyo na dini ni ya kibaguzi.

Na bahati mbaya sana pamoja na kuwa wanajipendelea lkn hawana sifa wala uwezo wa kushika nafasi hizo.
 

Attachments

  • Screenshot_20230614-093354_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20230614-093354_Samsung Internet.jpg
    238.5 KB · Views: 2
Nchi hii ni ya watu wote wa dini zote. Nilikua namjibu yule anaetulazimisha tuishi bila ya matakwa ya dini yetu kwasababu Sheria iko hivyo na kama hatuwezi tukahamie Afghanistan ambako sheria zao ni rafiki kwetu.
Ndio nae nikamjibu vile kwakua nafahamu ISLAMOPHOBIA wakiona au kusikia MWARABU chupi sehemu ya nyuma hua zinachafuka.
Si unajua bandari amepewa MWARABU aziendeshe na kuzisimamia? Sasa inakuaje hapo na ndio hatuwezi kuvumiliana Wala kustahamiliana, wahame tu nao waende hizo nchi.
Shida yenu nyingi waislam hua mnataka kuitanguliza dini yenu mbele hata kwenye mambo ambayo sio ya kidini, sasa swala la jeshi uanze kuingiza maswala mavazi yenu ya kiislamu ili iweje 🤔🤔 lile ni jeshi la Nchi sio jeshi la kiislam, na ndio maana nikasema kama mnaona zile Sheria za kule mafunzoni ni ngumu basi kaeni na watoto wenu msiwapeleke kule, ili mbaki kulinda hayo maadili yenu ya kidini, hata dini yenu inakataa watoto wa kike kuingia jeshini kule
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
acheni huo ujinga mambo ya majeshi yana uhsiano gani na imani za kijini.kama ndivyo basi hao vijana wa kiislamu wasiajiriwe jeshini.majeshi yana taratibu zake hata hivyo jkt haijaanza leo labda kwa nyinyi maselule ambao hamjapitia majeshi.
 
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
Kama huli kitimoto una kula mbuzi ni hiari. Hivyo hivyo kama JKT ni hiari na masharti yake huyawezi usiende tuu.
 
nenda chechenia uone wanawake wakiwa na nguo ndefu jeshini na ni makomandoo, nenda palestina nenda indonesia nenda afghan stan nenda pakistani kote huko wanajeshi wanawake wamevaa hejabu na wanauwezo wa kupigana na nchi za africa kwa masaa na kuteka nchi nzima bila kujumuishwa na wanaume ni wanawake tu, kunyolewa kipara sio kuwa utakuwa mwanajeshi mkakamavi kuvaa kaptula hakusaidii kuwa utajua mbinu za kivita nenda ka google jeshi la tanzania katika africa ni la ngapi kwa uwezo:View attachment 2680771
Tafuta dopper exercise uone ilivyo then kanusha hiyo kauli kuwa wanawake komando, au SAS kuna wana dada wawili walijiunga na pre-selection ila fuatilia waliishia wapi? Kuitwa commando usidhani ni jambo ambalo unapewa tu watu siku hadi wanapewa ile beret huwa machozi yanatoka.

Japo haimaanishi nimewadharau hapana kuna majeshi yanakuwa na wanawake ambao kidogo wana mafunzo baadhi ya SF ila kufikia hatua za juu kabisa ni ngumu kutokana na mazingira na uhalisia wa mafunzo.
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.

Watu wengine wa Ajabu sana ….
 
nenda chechenia uone wanawake wakiwa na nguo ndefu jeshini na ni makomandoo, nenda palestina nenda indonesia nenda afghan stan nenda pakistani kote huko wanajeshi wanawake wamevaa hejabu na wanauwezo wa kupigana na nchi za africa kwa masaa na kuteka nchi nzima bila kujumuishwa na wanaume ni wanawake tu, kunyolewa kipara sio kuwa utakuwa mwanajeshi mkakamavi kuvaa kaptula hakusaidii kuwa utajua mbinu za kivita nenda ka google jeshi la tanzania katika africa ni la ngapi kwa uwezo:View attachment 2680771

Reference ya nchi ulizozitaja serikali ni za kidini, so even katiba zao zimekuwa structured kuendana na cultural status ya wananchi.
Hiyo ni different na nchi zingine maana nchi hazifanani ki tamaduni.
Huwez apply same principle kwa serikal ambazo hazi operate kwa style hiyo.
 
Hujui kitu mh.

Katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kuabudu nchi hii.
Mabinti zetu anakwenda jkt wana imani tofauti. Wengine kwao walistahili kuvaa uniform zinazoendanda na haki ya kikatiba ya uhuru wa kuabudu.

Kama katiba inatoa uhuru wa kuabudu. Ktk katiba hiyo isiyo na dini hivyo itikadi ya kutokuwa na dini kunaminya haki ya kuabudu; hivyo kipengeleke cha taifa kutokuwa na dini, kinakinzana na kipengele cha katiba cha uhuru wa kuabudu.

Hivyo kutokuwa na dini ni unconstitutional. Sijui kama unaelewa hilo.

Ndio maana tunahitaji dhana ya kuundwa kwa serikali ya dini zote.

Na kimsingi ndio maana halisi ya serikali kutokuwa na dini.

Kwa maana serikali isiyo na dini ni sawa na kuwa na serikali ya dini zote.

Jiulize tena; Kwa nini katika teuzi za watendaji hatuoni watz wenye asili ya Asia wakipata uteuzi.

Huoni kuwa huo ni ubaguzi.

Ndio Serikali isyo na dini ni ya kibaguzi.

Na bahati mbaya sana pamoja na kuwa wanajipendelea lkn hawana sifa wala uwezo wa kushika nafasi hizo.

Jeshini huendi kuabudu unaenda kuitumikia nchi.
Inaonekana hujapita jeshini kabisa, waliopita wanaelewa hili

Binafsi i was there , na intake yangu ilikuwa na mchanganyiko wa kila dini, ila wote tulikuwa treated the same.
Kama ni muda wa kuabudu, uko muda maalumu unatengwa.

Ila mkirudi kwenye majukumu ya jeshi mnakuwa one team, jeshi si religious institution. It not civilian. Jeshi liko pale kulinda mipaka ya nchi not otherwise
 
Tafuta dopper exercise uone ilivyo then kanusha hiyo kauli kuwa wanawake komando, au SAS kuna wana dada wawili walijiunga na pre-selection ila fuatilia waliishia wapi? Kuitwa commando usidhani ni jambo ambalo unapewa tu watu siku hadi wanapewa ile beret huwa machozi yanatoka.

Japo haimaanishi nimewadharau hapana kuna majeshi yanakuwa na wanawake ambao kidogo wana mafunzo baadhi ya SF ila kufikia hatua za juu kabisa ni ngumu kutokana na mazingira na uhalisia wa mafunzo.

Kuongezea ni kuwa mostly of wanawake si sf, ila ni support elements kwa sf. Kama intelligence gathering na kadhalika.
Lakini kuwa teir one operator hakuna mwanamke aliweza toboa hiyo level
 
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
mafunzo ya jeshi si band za kaswida
 
nenda chechenia uone wanawake wakiwa na nguo ndefu jeshini na ni makomandoo, nenda palestina nenda indonesia nenda afghan stan nenda pakistani kote huko wanajeshi wanawake wamevaa hejabu na wanauwezo wa kupigana na nchi za africa kwa masaa na kuteka nchi nzima bila kujumuishwa na wanaume ni wanawake tu, kunyolewa kipara sio kuwa utakuwa mwanajeshi mkakamavi kuvaa kaptula hakusaidii kuwa utajua mbinu za kivita nenda ka google jeshi la tanzania katika africa ni la ngapi kwa uwezo:View attachment 2680771

Hapa sio Chechenia
Hapa sio Palestina
Hapa sio Indonesia
Chukua mwanao peleka huko

Jeshi lina taratibu zake unadhani hakuna wanajeshi wakike ambao ni waislamu? Unadhani hajaona hilo?

Kila nchi ina mazingira yake usilazimishe
 
ww mleta maada sio mwislamu maana kulingana na uislam wanawake hawatakiwi kwenda jeshini wala kuwa viongozi kazi yao ni kukaa nyumbani na kulea hata katika uislamu wa mtume ilikuwa ivo ( nipo hapa nasoma quruan kutoka talibani)
 
Mtoa mada wewe ni adui wa Amani yetu. Ulaaniwe na ikiwezekana ufe kwa ajali leo
 
Jeshini huendi kuabudu unaenda kuitumikia nchi.
Inaonekana hujapita jeshini kabisa, waliopita wanaelewa hili

Binafsi i was there , na intake yangu ilikuwa na mchanganyiko wa kila dini, ila wote tulikuwa treated the same.
Kama ni muda wa kuabudu, uko muda maalumu unatengwa.

Ila mkirudi kwenye majukumu ya jeshi mnakuwa one team, jeshi si religious institution. It not civilian. Jeshi liko pale kulinda mipaka ya nchi not otherwise
Tatizo hatujui rights zetu. Na hujui maana ya kuabudu.

Kuabudu si kwenda kanisani au msikitini pekee. Kila tabaka linalounda watz lina tafsiri yake ya nini maana ya kuabudu.

Je katiba yetu imewekwa wazi kuwa kuabudu ki kuswali na kusali. Hapana; bali walio ktk nyadhifa ndio wanaotoa tafsiri zinazofanana na value zake.

Sasa uhuru aliopewa kila mtz wa kuabudu ndani ya katiba ni haujatoa rafsiri nini maana ya kuabudu.

Ipi itakuwa tafsiri universal iwapo mmoja anaamini uhuru wa kuabudu ni kuswali na kusali.

Na mwengine akisema uhuru wa kuabudu ni hadi ktk mavazi (uniform) maalum kwa ajili ya wasichana masingasinga, marasta, mabinti wa kiislam.

Nchi zinazoelewa haji zao na uhuru wao kama UK, SA, US inaruhusu haki hizi za kuabudu ikiwemo ruhusa ya kuvaa uniform maalum kwa wanaishi wao.

Tatizo kama hili liliibuka miaka ya 1985 kwa wanafunzi kuvaa hijab
Wasiolewe wakasema haitowezekana kwa kuwa nchi haina dini.

Ni hivi taifa kutokuwa na dini maana yake si kukandamiza imani ya baadhi ya dini. Bali kulinda uhuru wao
 

Attachments

  • Screenshot_20220114-215050.jpg
    Screenshot_20220114-215050.jpg
    83.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220220-204454_1645379131488.jpg
    Screenshot_20220220-204454_1645379131488.jpg
    89.6 KB · Views: 3
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura.

Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya vijana wa kiislamu.

Naomba bakwata km chombo kinachosimamia mambo ya waislamu kulizungumzia jambo hili.
Vitani una muda wa kusuka na kuvaa Hijab au Gagulo ?!!!
 
Back
Top Bottom