BAKWATA mnajisikiaje kuwa wa pekee kwenye masuala ya miandamo ya mwezi?

BAKWATA mnajisikiaje kuwa wa pekee kwenye masuala ya miandamo ya mwezi?

Tyrone Kaijage

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
1,617
Reaction score
3,405
Jana nilisoma ujumbe wa Sheikh mkuu kuwa mwezi haujaandama na kwa mawasiliano ya (wenzetu) kutoka sehemu jirani ikasemwa Kenya, Uganda na Zanzibar kuwa hakuna taarifa ya mwezi ila cha kushangaza hao jiraniz wanasherehekea sikuukuu ya Eid leo.

Inasemekana kufunga siku ya Eid ni dhambi sasa hapa inakuwaje? Nani ka edit sheria Saudia au BAKWATA?
 
Jana nilisoma ujumbe wa Sheikh mkuu kuwa mwezi haujaandama na kwa mawasiliano ya (wenzetu) kutoka sehemu jirani ikasemwa Kenya, Uganda na Zanzibar kuwa hakuna taarifa ya mwezi ila cha kushangaza hao jiraniz wanasherehekea sikuukuu ya Eid leo.

Inasemekana kufunga siku ya Eid ni dhambi sasa hapa inakuwaje? Nani ka edit sheria Saudia au BAKWATA?
BAKWATA ni mojawapo ya Jumuiya ya Fisiemu. Yani kama UVCCM na UWT. Lazima wafuate maagizo kutoka juu...
 
Jana nilisoma ujumbe wa Sheikh mkuu kuwa mwezi haujaandama na kwa mawasiliano ya (wenzetu) kutoka sehemu jirani ikasemwa Kenya, Uganda na Zanzibar kuwa hakuna taarifa ya mwezi ila cha kushangaza hao jiraniz wanasherehekea sikuukuu ya Eid leo.

Inasemekana kufunga siku ya Eid ni dhambi sasa hapa inakuwaje? Nani ka edit sheria Saudia au BAKWATA?
Wako vizuri kwa sababu wako sawa...
Hayo mengine ni kutofahamu tu.
 
Sasa hapo dhambi tunapata sisi maamuma/waumini au dhambi linapata baraza manake kufunga siku ya eid si ndi dhambi?
 
Hili baraza inatakiwa libadili kabisa mifumo yako ya uendeshaji mambo, ndio hitilafu zipo ila wanaonyesha udhaifu mkubwa na kudharirisha uislam wa Tanzania bora zaidi waishi na msimamo wa kutangaza kuswali eid kwa taarifa ya mwezi kuonekana popote pale duniani mbona safi tu hiyo haiwezi kuathiri shughul zingine zakitaifa
 
Jana nilisoma ujumbe wa Sheikh mkuu kuwa mwezi haujaandama na kwa mawasiliano ya (wenzetu) kutoka sehemu jirani ikasemwa Kenya, Uganda na Zanzibar kuwa hakuna taarifa ya mwezi ila cha kushangaza hao jiraniz wanasherehekea sikuukuu ya Eid leo.

Inasemekana kufunga siku ya Eid ni dhambi sasa hapa inakuwaje? Nani ka edit sheria Saudia au BAKWATA?
Bakwata wapo sawa maana M/Mungu amesema fungeni mkiuona mwezi na fungueni mkiuona mwezi, hajasema fungeni mkiuona mwezi na fungueni msipo uona mwezi.
 
Bakwata wapo sawa maana M/Mungu amesema fungeni mkiuona mwezi na fungueni mkiuona mwezi, hajasema fungeni mkiuona mwezi na fungueni msipo uona mwezi.
Sehemu nying za Tanzania sasa hivi mvua zinanyesha na Hali ya hewa ni mawingu huo mwezi unauonaje?
 
Back
Top Bottom