BAKWATA mnajisikiaje kuwa wa pekee kwenye masuala ya miandamo ya mwezi?

BAKWATA mnajisikiaje kuwa wa pekee kwenye masuala ya miandamo ya mwezi?

Jana nilisoma ujumbe wa Sheikh mkuu kuwa mwezi haujaandama na kwa mawasiliano ya (wenzetu) kutoka sehemu jirani ikasemwa Kenya, Uganda na Zanzibar kuwa hakuna taarifa ya mwezi ila cha kushangaza hao jiraniz wanasherehekea sikuukuu ya Eid leo.

Inasemekana kufunga siku ya Eid ni dhambi sasa hapa inakuwaje? Nani ka edit sheria Saudia au BAKWATA?
Bakwat
Jana nilisoma ujumbe wa Sheikh mkuu kuwa mwezi haujaandama na kwa mawasiliano ya (wenzetu) kutoka sehemu jirani ikasemwa Kenya, Uganda na Zanzibar kuwa hakuna taarifa ya mwezi ila cha kushangaza hao jiraniz wanasherehekea sikuukuu ya Eid leo.

Inasemekana kufunga siku ya Eid ni dhambi sasa hapa inakuwaje? Nani ka edit sheria Saudia au BAKWATA?
Bakwata inamtumikia alioianzisha kwatafsri ni baraza kuu lawaislam Tanzania lakini uongozi mzima nizehebu moja kwahiyo lazima wamtumikie aliowapa
 
Dunia ya sasa huhitaji kuona mwezi kwa macho ya nyama ndo ufungue.. badilikeni.
Wewe unataka wabadilike kwa mawazo yako ila sio matakwa ya M/Mungu, wame teremshiwa kitabu kina maelezo yote na sio mawazo kama yako, kinachotakiwa ni maandishi yana elekeza vipi uyafate bila kuongeza ka ufundi
 
Wewe unataka wabadilike kwa mawazo yako ila sio matakwa ya M/Mungu, wame teremshiwa kitabu kina maelezo yote na sio mawazo kama yako, kinachotakiwa ni maandishi yana elekeza vipi uyafate bila kuongeza ka ufundi
Ok... jana mmefungulia, mmeuona mwezi?
 
Back
Top Bottom