Dhambi wanapata walioswali leo kwa mwezi wa mchongo!!!Sasa hapo dhambi tunapata sisi maamuma/waumini au dhambi linapata baraza manake kufunga siku ya eid si ndi dhambi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhambi wanapata walioswali leo kwa mwezi wa mchongo!!!Sasa hapo dhambi tunapata sisi maamuma/waumini au dhambi linapata baraza manake kufunga siku ya eid si ndi dhambi?
MTume kafundisha msipouona kwa sababu ya mawingu timizeni siku thelathini.Sehemu nying za Tanzania sasa hivi mvua zinanyesha na Hali ya hewa ni mawingu huo mwezi unauonaje?
Kwenye hili la mwezi mwandamo Bakwata wako sahihi 100%. Wamesimama kwenye asili ya jambo.ni mwendawazimu tu ambae anaendelea kuwaamini, kuwasikiliza na kuwafata Bakwata
Oman imewasaidia zanzibar mtambo wa kuangalia mwezi wakati wa hali ya hewa mbaya na kama wameutumia ina maana mwezi haukonekanaSehemu nying za Tanzania sasa hivi mvua zinanyesha na Hali ya hewa ni mawingu huo mwezi unauonaje?
BakwatJana nilisoma ujumbe wa Sheikh mkuu kuwa mwezi haujaandama na kwa mawasiliano ya (wenzetu) kutoka sehemu jirani ikasemwa Kenya, Uganda na Zanzibar kuwa hakuna taarifa ya mwezi ila cha kushangaza hao jiraniz wanasherehekea sikuukuu ya Eid leo.
Inasemekana kufunga siku ya Eid ni dhambi sasa hapa inakuwaje? Nani ka edit sheria Saudia au BAKWATA?
Bakwata inamtumikia alioianzisha kwatafsri ni baraza kuu lawaislam Tanzania lakini uongozi mzima nizehebu moja kwahiyo lazima wamtumikie aliowapaJana nilisoma ujumbe wa Sheikh mkuu kuwa mwezi haujaandama na kwa mawasiliano ya (wenzetu) kutoka sehemu jirani ikasemwa Kenya, Uganda na Zanzibar kuwa hakuna taarifa ya mwezi ila cha kushangaza hao jiraniz wanasherehekea sikuukuu ya Eid leo.
Inasemekana kufunga siku ya Eid ni dhambi sasa hapa inakuwaje? Nani ka edit sheria Saudia au BAKWATA?
Kwenye hili la mwezi mwandamo Bakwata wako sahihi 100%. Wamesimama kwenye asili ya jambo.
MTume kafundisha msipouona kwa sababu ya mawingu timizeni siku thelathini.
Dunia ya sasa huhitaji kuona mwezi kwa macho ya nyama ndo ufungue.. badilikeni.Bakwata wapo sawa maana M/Mungu amesema fungeni mkiuona mwezi na fungueni mkiuona mwezi, hajasema fungeni mkiuona mwezi na fungueni msipo uona mwezi.
Waende na wakatiDunia ya sasa huhitaji kuona mwezi kwa macho ya nyama ndo ufungue.. badilikeni.
Wewe unataka wabadilike kwa mawazo yako ila sio matakwa ya M/Mungu, wame teremshiwa kitabu kina maelezo yote na sio mawazo kama yako, kinachotakiwa ni maandishi yana elekeza vipi uyafate bila kuongeza ka ufundiDunia ya sasa huhitaji kuona mwezi kwa macho ya nyama ndo ufungue.. badilikeni.
Ok... jana mmefungulia, mmeuona mwezi?Wewe unataka wabadilike kwa mawazo yako ila sio matakwa ya M/Mungu, wame teremshiwa kitabu kina maelezo yote na sio mawazo kama yako, kinachotakiwa ni maandishi yana elekeza vipi uyafate bila kuongeza ka ufundi
Tumeuona juzi na jana pia tumeounaOk... jana mmefungulia, mmeuona mwezi?