.....mvua na jua bora nini???bora tanesco kukata umeme mda mwengine wana saidia
🤣🤣🤣We hujafika huku kwetu, Tangu saa kumi hapa sijalala jamaa anaongea kweli
Hauna usingiziWe hujafika huku kwetu, Tangu saa kumi hapa sijalala jamaa anaongea kweli
Hujui wewe hizo volume zao ndo manaHauna usingizi
Uconcetrate nazo tuHujui wewe hizo volume zao ndo mana
Nipo na mufti hapa kwake mikocheniSasa kwa mfano hapa, wameshatoa azana kisha wameamua kuweka audio ya sheikh anazungumzia mambo ya ndoa ya ndani kabisa, kwa nature ya audio inaonekana kilikua cha wanawake tu tena watu wazima ila hapa imewekwa kwa nguvu kabisa1 asubuhi hii.
Mbona misikiti mingine hawafanyi hivi? Mbona waislam kibao wanasema hakuna mawaidha ya swala ya asuhi?
Sina chuki na dini yoyote lakini kinachofanyika sio haki. Km serikali inahofia kuonekana vipi bas BAKWATA tunaomba mtupe muongozo.
Huku mtaani wanafanya wanachotaka.
Misikititi yote inayosimamiwa na BAKWATA Tanzania nzima nikero ifikapo alfajiri.Nipo na mufti hapa kwake mikocheni
Taja jina la msikitti na mahali ulipo
Nikusaidie mkuu
SamalekuSasa kwa mfano hapa, wameshatoa azana kisha wameamua kuweka audio ya sheikh anazungumzia mambo ya ndoa ya ndani kabisa, kwa nature ya audio inaonekana kilikua cha wanawake tu tena watu wazima ila hapa imewekwa kwa nguvu kabisa1 asubuhi hii.
Mbona misikiti mingine hawafanyi hivi? Mbona waislam kibao wanasema hakuna mawaidha ya swala ya asuhi?
Sina chuki na dini yoyote lakini kinachofanyika sio haki. Km serikali inahofia kuonekana vipi bas BAKWATA tunaomba mtupe muongozo.
Huku mtaani wanafanya wanachotaka.