JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Sasa choo chenyewe ni kile cha Kilimanjaro Hotel, si zaidi ya stoo (mwenyewe unaita chumba) unayolala.banghe za kuvutia chooni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa choo chenyewe ni kile cha Kilimanjaro Hotel, si zaidi ya stoo (mwenyewe unaita chumba) unayolala.banghe za kuvutia chooni
Anagalia niliem-quote. Yeye ndo kaanzisha kuhusu dinikwani ni kosa mtu kutoa isia zake? hapa dini inatoka wapi kama kigezo ni dini wangeogelea tz nzima sababu kamali zipo kila pahara bwaka hapa wanawasemea wasitafu sio waisilamu mbona mnachekesha?
Miongoni mwa Kazi za Ibada ni katika kusimamia Maadili..! Kwahivyo ni kosa kuita upuuzi.Huu sasa ni upuuzi,hao bakwata wana tumia sheria gani kutoa tamko? Hizi dini zifanye kazi ya ibada huko kwingine ni kuanza kuleta chokochoko.
Maadili wasimamie hao watu wa dini yao wenyewe. Hakuna mtu anaelazimisha mwenzie kwenda casino wala casino hazim-bugudhi mtu yyte yule..Miongoni mwa Kazi za Ibada ni katika kusimamia Maadili..! Kwahivyo ni kosa kuita upuuzi.
We mbona kama huelewi hoja? Hilo Casino limewekwa sehemu ambayo inaleta Kero kwa Wakazi wa Mikocheni, zamani halikuwepo.Maadili wasimamie hao watu wa dini yao wenyewe. Hakuna mtu anaelazimisha mwenzie kwenda casino wala casino hazim-bugudhi mtu yyte yule..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa casino inaleta kero gani jamani? Au hao wanaokataza hata hawajui casino ni nn... casino hazina kelele wala hazina bugdha ya aina yeyote ile. Labda kama ni "casino & bar". Na kama case ni hio basi " bar" iondolewe yenyewe, casino inaweza kubaki.We mbona kama huelewi hoja? Hilo Casino limewekwa sehemu ambayo inaleta Kero kwa Wakazi wa Mikocheni, zamani halikuwepo.
Suala lililopo, adhia Casino liondolewe au Wakazi wa eneo hilo wahame kitu ambacho si rahisi kwa Wakazi kuhama.
Hospitali ya Moyo Kinondoni ilihama kutokana na mazingira ya kuwepo matamasha ya mziki kila wiki pale Leaders Club wakawaachia mambo yao.
Dhambi ni nyingi mno. Aina mbalimbali. Ikemewe Ipi na Ipi iachwe? Tuko duniani Dhambi hazikwepeki. Kamari si Watu wanajitafutia Rizik?Wachungaji hawana muda wa kukemea dhambi wao mahubili yao ni kufanikiwa tu katika maisha hya, so hawawezi kulalamika.
Miongoni mwa Kazi za Ibada ni katika kusimamia Maadili..! Kwahivyo ni kosa kuita upuuzi.