BAKWATA yatangaza Sikukuu ya Eid El-Adh’haa kuwa Jumapili Julai 10, 2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa Sikukuu ya Eid El-Adh’haa inatarajiwa kuwa Jumapili Julai 10, 2022 ambapo sherehe za kitaifa zitafanyika Dae es Salaam.

Katibu Mkuu wa BAKWATA, Nuhu Mruma ameeleza kuwa swala ya Eid itaswaliwa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI, Kinondoni ikifuatiwa na Baraza la Eid baada ya Swala.

 
Kwani mngeipanga jumatatu mngepungukiwa na nini?
 
Ingependezea zaidi tarehe 8/7!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hivyo tunapunzika jumatatu au jumapili hiyo hiyo.
Maana Hawa watu hawaeleweki, Kuna siku sikukuu ni leo, mapumziko ni kesho yake.

Wabillah tawfiq
 
tunawatakia ndugu zetu sikukuu njema, lakini tusisahau kualikana au angalau kugawa nyama kwa wale wasio jiweza, masikini na mayatima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…