BAKWATA yawataka Watanzania kukataa ndoa za jinsia moja, Mufti ashangazwa wanaume kulawitiana ilhali wanawake wa kuolewa wapo

Mi nimependa tu jinsi background ya alipokaa Mh. Mufti inavyotangaza gharama ya kwenda Makkah kuhiji. Dini ni biashara wakuu. Muwe mnaelewa.
 
Na ukiacha pwani utaona Arusha nayo imeathirika Sana ..Wana international airport...wanaingiliana na wageni...Wana adopt mazuri na mabaya ya wageni wanakuja hasa watalii
 
Na ukiacha pwani utaona Arusha nayo imeathirika Sana ..Wana international airport...wanaingiliana na wageni...Wana adopt mazuri na mabaya ya wageni wanakuja hasa watalii

wanaporusha shutuma huko Arusha hufanya kama hawapaoni, Wao huelekeza shutuma Dar na Zanzibar tu
 
uzinzi haramu ushoga haramu kamari haramu ukahaba haramu riba haramu kifisadi mali za wanyonge haramu nk
 
Naungana na Bakwata kupiga marufuku mahusiano ya Jinsia moja
ushoga akumi kwa makatazo ya mdomo tu,ukahaba ulio enea kila kuna ya nchi mbona amuogelei au wanawake kugeuza miili yao daladala ni halali?
 
Kuna Wapumbavu wa imani ile huwa wanakuja na mihemuko humu JF kudhihaki Ukristo kuwa umehalalisha USHOGA, narudia tena ni WAPUMBAVU.
 
.
 
yule ustaz muzenji polisi kawaangusha sana kina Faiza Fox, hawana hata la kusema. Zanzibar ni sehemu chafu sana miaka yote, lakini watu huwa wanapenda kufichaficha ukweli. hii ndio maana hata huku bara ukiona mpemba amehamia kuishi sehemu watu huwa wanalinda watoto wao wa kiume kuliko chochote, na wanawake wengi wanaotembea na wapemba inasemekana wanapinduliwa samadi. bahati mbaya wamechangamana na utamaduni wa kiarabu ambao unaabudu sana nyuma kuliko mbele, asiye jua hata bikra huwa za mbele tu ni nani? inajulikana. kama ulishawahi kutembea na mwanamke wa kiarabu ipo wazi, akipiga chuma mboga unapaona kabisa pako helpless pashachakazwa pamoja na uzuri woote wa sura. wanahitaji msaada. ajabu yake sasa, watalii ndio wanaongezea zaidi na zaidi. usishangae huyo afande akapata uraia ulaya kwa kujifanya mkimbizi. Mungu yuo malangoni kuja kuihukumu hii dunia muda si mrefu, uovu umezidi sana.
 
kuna mastaa wa siasa mke na mume ndoa yao imevunjika na tayari wana watoto. Watoto watabaki kwa mama. Nini matokeo ya mama kulea watoto peke yake? Matokeo ndio haya ya kuongezeka kwa wakataa ndoa na ushoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…