Balaa la kuazimisha gari!!!

Balaa la kuazimisha gari!!!

Mkanganyiko kukanganya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,204
Reaction score
5,053

Gari langu la kwanza lilikuwa ni carina niliipenda sana muda mwingi kivulini nalifuta vumbi na kitambaa laini, smtms naliangalia mpaka natabasam 😁 automatically

Laaaahaulaa balaa siku hiyo nimelewa mwamba akanimbia niazimishe ndinga nakuletea chapu kwa wenge la konyagi nikampa.(siazimagi la mtu wala sipendi kutoa gari langu)

Kesho yake napata taarifa mwamba kapinduka,kwenda mcheki yupo ICU.
Kwenda tazama ndinga daaaah! gari limepondeka kiasi kwamba unaweza kulibeba katika jaba 😂😂

Je ulishawahi kupata balaaa gani baada ya kuazima/ kuazimisha gari.. share nasi
 

Gari langu la kwanza lilikuwa ni carina niliipenda sana muda mwingi kivulini nalifuta vumbi na kitambaa laini, smtms naliangalia mpaka natabasam 😁 automatically

Laaaahaulaa balaa siku hiyo nimelewa mwamba akanimbia niazimishe ndinga nakuletea chapu kwa wenge la konyagi nikampa.(siazimagi la mtu wala sipendi kutoa gari langu)

Kesho yake napata taarifa mwamba kapinduka,kwenda mcheki yupo ICU.
Kwenda tazama ndinga daaaah! gari limepondeka kiasi kwamba unaweza kulibeba katika jaba 😂😂

Je ulishawahi kupata balaaa gani baada ya kuazima/ kuazimisha gari.. share nasi
🤣

Siti ya mbele
 
Hakuna kitu kinaharibu na kuchakaza gari haraka kama kutumiwa na mikono mingi
Kila mtu ana uendeshaji wake.

Kwahiyo kila ukimpa mmoja atafanya settings zake nknk . lakini mbaya zaidi ni ishu za kiroho hasa kumpa mtu gari halafu akaenda kubebea matunguli ama kufanyia ngono ndani yake! Hakuna nuksi kubwa kama hiyo
 
Hakuna kitu kinaharibu na kuchakaza gari haraka kama kutumiwa na mikono mingi
Kila mtu ana uendeshaji wake.. Kwahiyo kila ukimpa mmoja atafanya settings zake nknk . lakini mbaya zaidi ni ishu za kiroho hasa kumpa mtu gari halafu akaenda kubebea matunguli ama kufanyia ngono ndani yake! Hakuna nuksi kubwa kama hiyo
Mkuu wazee wanasema gari ni mke wapili, ulishaona wapi mtu anatoa mkewe!!
Toka siku hizo hata kma nimshkaj nitamchomoka kijanja sna
 
Hakuna kitu kinaharibu na kuchakaza gari haraka kama kutumiwa na mikono mingi
Kila mtu ana uendeshaji wake.. Kwahiyo kila ukimpa mmoja atafanya settings zake nknk . lakini mbaya zaidi ni ishu za kiroho hasa kumpa mtu gari halafu akaenda kubebea matunguli ama kufanyia ngono ndani yake! Hakuna nuksi kubwa kama hiyo
Mkuu Nambie jinsi ya kuondoa nuksi ya ngono katika gari make Sasa naona majanga hayaishi.Help me.
 
Screenshot_20230212_014532_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom