Balaa la mti huu

madeinmusoma

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
324
Reaction score
387
Naambiwa mti huu wa mpangazi uzazi ni hatari sana unapokuwa kwenye mazingira ya nyumbani. Kama kuna mwana JamiiForums anafahamu tafadhari atufafanulie.

 
Kuna kipindi wakazi wengi wa Dar waliikata na kuingoa sababu eti miti hii inasababisha mikosi!
 
Panda Mharadari
HUo Uache Kwanza Kama Ule Mtini Usizaa Kwenye Biblia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…