Mafyangula
Member
- Jan 16, 2025
- 75
- 100
Ujaliona kwani? utaliona vizuri hivi karibuniSasa hapo kafanya balaa gani?
Hata cheza Jumamosi ila kuhamasishana kuiunga mkono timu ya yanga sc uwanjani ni muhimuFundi wa mpira winga machachari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake leo hii!
Hilo balaa alilolifanya si powa. Huyu jamaa anajuwa ball kinoma
Kata Tiketi Mwananchi Tukutane Kwa Mkapa Jumamosi hatacheza lkn hamasa ni muhimu
Kumbe n winga machachariFundi wa mpira winga machachari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake leo hii!
Hilo balaa alilolifanya si powa. Huyu jamaa anajuwa ball kinoma
Kata Tiketi Mwananchi Tukutane Kwa Mkapa Jumamosi
Mikakati kwaajili ya NBC premier league siyo CAFIla Yanga, hahah! Hapo mnafichwa ili mkajae uwanjani kumuona huyo tapeli kumbe hata haruhusiwi kuchezea uto mashindano ya CAF msimu huu. Tukisema hii timu ya janja janja kuna watu hamtuelewi.
Dah kafanana sana na dogo wa kundi la koluna!Fundi wa mpira winga machachari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake leo hii!
Hilo balaa alilolifanya si powa. Huyu jamaa anajuwa ball kinoma
Kata Tiketi Mwananchi Tukutane Kwa Mkapa Jumamosi
Balaa liko wapi?Balaa la siku ya kwanza la Jonathan Kapela. Kuna watu watapa shida sana uwanjani
Unateseka ukiwa wapi mkuu.E MUNGU NIPE AKILI KIJANA WAKO.
Mleta mada kanogesha taarifa kama vile anacheza jmosi wakati ni ulaghai mtupu. Na viongozi wenu wamemtambulisha bila kuwaambia kuwa hawezi cheza CAF. Wajinga waliwao.Mikakati kwaajili ya NBC premier league siyo CAF
Lakini nimeona taarifa pitia YouTube ya kumruhusu acheze Jumamosi tusubiri JumamosiMleta mada kanogesha taarifa kama vile anacheza jmosi wakati ni ulaghai mtupu. Na viongozi wenu wamemtambulisha bila kuwaambia kuwa hawezi cheza CAF. Wajinga waliwao.