SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Tusubiri kivipi unataka unitapeli na mimi? Kanuni za CAF ziko waziLakini nimeona taarifa pitia YouTube ya kumruhusu acheze Jumamosi tusubiri Jumamosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri kivipi unataka unitapeli na mimi? Kanuni za CAF ziko waziLakini nimeona taarifa pitia YouTube ya kumruhusu acheze Jumamosi tusubiri Jumamosi
Angalia YouTube usinihukumu BureeTusubiri kivipi unataka unitapeli na mimi? Kanuni za CAF ziko wazi
Youtube ndiyo kuna kanuni za CAF?Angalia YouTube usinihukumu Buree
Kwa hiyo unamkatalia alichokiandika chura mwezako?Ni YOUNG AFRICANS SC pekee mchezaji akisajiliwa mashabiki hawamshobokei yaani anaonekana wa kawaida sana mpaka akapambane aoneshe uwezo wake ndipo ataimbwa, huko kwa akina kmc,tabora kagera na huko simba mchezaji akija moja kwa moja anaanza kazi ie. mpanzu,ateba,