Balaa la siku ya kwanza la Jonathan Kapela. Kuna watu watapa shida sana uwanjani

Hata moto wa kifuu Huwa unawaka kwa Kasi lakini baada ya muda unazima ziiii. Tusubiri tuone kama yaliyomo yamo.
 
Alikuwa anawekwa benchi na Mpanzu huyo
 
Kwa hiyo unamkatalia alichokiandika chura mwezako?
 
Huyu jamaa ni mzito Umaga anasubiri,Alafu anatabia ya kufuga kitambi akiwa ni mchezaji na keshasajiliwa na club.
 
Yaani mnasajili mchezaji kwa ajili ya NBC premier?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…