Balaa: Masters UDSM na Mzumbe zapanda bei

MPENDA USAWA

Senior Member
Joined
Oct 15, 2012
Posts
169
Reaction score
29
Aisee yaani ukisikia watoto wa masikini wataendelea kuwa masikini wa elimu na kila kitu ndo inajidhihilisha!!!yaani masterz kwa sasa ada ni 7milions cash!

Hapo bado accomodation, si balaa hii sasa!? daah!!
 
Aisee yaani ukisikia watoto wa masikini wataendelea kuwa masikini wa elimu na kila kitu ndo inajidhihilisha!!!yaani masterz kwa sasa ada ni 7milions cash!!!hapo bado accomodation si balaa hii sasa!!daah!!
7,000,000/, KULA+KULALA+MATUMIZI MINGINE /= ,kama 13,000,000/-
 
...ni 8.5 MBA, UDSM,sio kila mtu lazima asome masters. Nenda chuo cha nyuki,chuo cha sanaa,veta,ukishindwa nenda zanzibar university...
 
...ni 8.5 MBA, UDSM,sio kila mtu lazima asome masters. Nenda chuo cha nyuki,chuo cha sanaa,veta,ukishindwa nenda zanzibar university...

Kwa unit sh ngapi? Duh so expensive
 
Afu wamepandisha kwa asilimia 100.. Nashukuru imenikosa kidoogo. Ila sijui lengo lao ni nini hasa..!?
 
Just sinking, no, sorry thinking aloud:

Bei ya Bia inapanda kila baada ya miezi kadhaa - no complains! Bei ya Elimu ikipanda tu - kelele kubwa ya wimbo wa Taifa wa umasikini!

Strange human nature, isn't it?

Anyway, like I said, just sinking, no, sorry, thinking aloud!
 

Elimu kwa dunia ya sasa ni kitu cha lazima , pombe ni anasa . Tofautisha needs na wants
 
sababu ya kupandisha ada ya wanafunzi wa masters ni baada ya kugundua yakuwa wanafunzi kibao wanahitaji kupata masters zao toka udsm na wengi wao wakiwa wa nje yanchi na wahapahapa bongo pia!
 

critisicm:si kila mtu mnywa bia,wengne bei za elimu zkipanda wanaumia,hasa watoto wa wakulima
 
Kama umeshagraduate ,Master ni ziada na naamini unaweza kufanya kazi kisha ukajiendeleza ama kuendelezwa baadae,sioni sababu ya kulalamika kwa kua gharama ya maisha kwa ujumla imepanda.Huwezi kusoma masters kwa ada sawa na aliyesom a miaka kumi nyuma yako!
 
critisicm:si kila mtu mnywa bia,wengne bei za elimu zkipanda wanaumia,hasa watoto wa wakulima

Sorry, like I said, I was just thinking aloud!

Hata hivyo, ninaamini gharama za uendeshaji za Vyuo ziko juu sana na chanzo chao kikuu cha mapato ni malipo yanayofanywa na Wateja wao ambao ni Wanafunzi.

Je, gharama za Vyuo vyetu zimekaa vipi zikilinganishwa na gharama na ubora ktk Vyuo vya Nchi Jirani?

Je, Serikali "ina-subsidize"? Kwa kiasi gani? Kwa asilimia ngapi ukilinganisha na kupanda kwa gharama za uendeshaji?

Je, hii sababu ya kusingizia ya "mtoto wa mkulima" inayotumika leo miaka 50+ baada ya Uhuru itaendelea hadi lini? Ninafahamu baadhi ya Wakulima wadogo wa Choroko huku kwetu Meatu 10m siyo tatizo. Kisingizio cha "mtoto wa Mkulima" kinadumaza kilimo chetu na kinadhalilisha Ukulima kaa "career"

Just thinking aloud!
 
Aisee yaani ukisikia watoto wa masikini wataendelea kuwa masikini wa elimu na kila kitu ndo inajidhihilisha!!!yaani masterz kwa sasa ada ni 7milions cash!!!hapo bado accomodation si balaa hii sasa!!daah!!

FYI: Karo ya 2011 ya MBA - Executive ya ESAMI ilikuwa USD7500! ESAMI is based at Njiro, Arusha, Tanzania!
 

mkuu you've just shouted one crucial thing. does the Educational fees reflect the quality of the education provided? I think not. Ukipandisha gharama za elimu kuendana na gharama za maisha i think the level and quality of the education provided must go up as well, something that the leaders and people responsible are forgetting. Wanapandisha bei na gharama za elimu huku ubora ni uleule wa miaka ya tisini. ;(
 
Msaada wadau ninauliza vp soko la ajira la barchelor of commerce in banking and financial services hapo bongo,mim nimechaguliwa iyo pale udsm
 
Aisee acha tu nimeomba Postgraduate Diploma ya Masscommunication UDSM-SJMC niliweka bajet ya milion mbili na nusu Ada,nimetumiwa adm letter ada kwa milion tatu na nusu dah,nitasoma mwakani aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…