Balaa tupu! Diamond, Ally Kiba wakutana ukumbini, wachuniana!

Haya mabifu ya kipuuzi sana! mabeef tuwaachie wakina Suge knight, wakina 50 cent wakina TI siyo hawa wajiga wanagombeana wananaume

Nimegundua wamejaa ujinga !
 
Bora useme we we, halafu watu wasisahau kuwa hawa jamaa wanatoka kigomaaa....huwa hawatupani wale watu...

So tuongee huku tunabakisha maneno, wakija patana tusije kuona aibuu...

Mambo madogo madogo yanakuzwa utadhani dunia imefikia kiama.

Kama hawajasalimiana so what? Ndo mwisho wa dunia?

Wao wameona inafaa iwe hivyo, sasa wengine tatizo lao nini?

Yaani watu bana...kazi kulialia na kulalamika tu juu ya mambo madogo yasiyo hata na tija yoyote ile.

I mean, kwani ni lazima Kiba na Diamond wasalimiane?
 
Hivi kutoongea na mtu ndio upuuzi ama ujinga?mi naheshimu sana watu wenye maamuzi kama hawa,sikupendi hunipendi kila mtu apite kivyake.sometimes kuongea na watu unajikuta msengenyaji au hata mpambe nuksi bila sababu.so give em space wafanya watakavyo
 
Bora useme we we, halafu watu wasisahau kuwa hawa jamaa wanatoka kigomaaa....huwa hawatupani wale watu...

So tuongee huku tunabakisha maneno, wakija patana tusije kuona aibuu...

nimekupenda bure Kim nana at least umeshirikisha jicho la tatu, good
 
Last edited by a moderator:
La muhimu hawakupigana vigumbo tu,kusalimiana sio lazima,ila ni busara!
 
Ishu mnaikuza tu, awa watu walikaa mbalimbali sana sijui ata nisemeje. Yani kwa distance waliokaa na situation yao ilivyo, mmoja angetoka kwenda kumsalimia mwenzake ingekuwa ni unafiki wa hali ya juu.
 
Poa maana duniani hapa binadamu wote hatuongei na kila mtu.
 
jaman acheni uchonganishi mnataka kusema wasanii wote walisalimiana kasoro hao.? mlitaka kila mtu asisifu kazi yake
 
So what? Ilo ndilo 'balaa tupu'?? Wewe mwenyewe binafsi hakuna mtu ambaye husalimiani nae?
 
Alikiba anazo tatu au mbili kama ckosei na diamond ana ata moja

Cinderella iliuza Sana japo sina idad n tsh ngap

mfumo wa kuuza albam ulishapitwa na wakati, zama hizi ni singles tu
 
Kibba ndie Wa kulaumiwa kwanini hakusimama na kwenda kumsalimia mfalme diamond?kibba alitakiwa kwenda na kumpa pole diamond kwa ziara ndefu ya east Africa during Xmas na new year.
 
Hawa ni wapuuzi wanatakiwa kukemewa hivi leo hii kama mmoja ikitokea hayupo aliyebaki atamlilia mwenzie? Mimi bado namlaumu Kiba maana yeye ni mtu mzima kuzidi Diamond ..kutosalimiana ni upuuzi ulio pitiliza.

atokee tu mwenye busara awakalishe, kwa status ambazo wameshazipata huu ndio muda wa kutusua mafanikio, habari za kutunishiana misuli wangewaachia akina matumla.
 
pengine hili tamasha limeandaliwa kwa ajili ya kuingiza, pesa kupitia hii bifu ya kichina kitendo cha wao kusalimiana na kuonyesha hawana tofauti pengine waliona kutapunguza mvuto wa tamasha lenyewe nahisi hivyooo.

Absolutely wanajua hizi team zitaitana kwenda kumshabikia mtu wao ili afunike, hapo lazima wajaze nyomiiii, watapiga hela lakini wanaharibu future za hao wasanii
 
Kibba ndie Wa kulaumiwa kwanini hakusimama na kwenda kumsalimia mfalme diamond?kibba alitakiwa kwenda na kumpa pole diamond kwa ziara ndefu ya east Africa during Xmas na new year.

Huna akili kawaida unapowkuta watu wamekaa lazima uanze kuwasalimia alieanz kufika alistahiki kusalimiwa
 

wapeleke ushindani kwenye soko la nje, kibongo bongo waungane na bidhaa bora itapatikana vile vile, coz kila mmoja ni mkali kwenye idara yake.
 
Ishu mnaikuza tu, awa watu walikaa mbalimbali sana sijui ata nisemeje. Yani kwa distance waliokaa na situation yao ilivyo, mmoja angetoka kwenda kumsalimia mwenzake ingekuwa ni unafiki wa hali ya juu.
hahahahaaa bora wewe uliyeona scene waweza tusaidia hapa coz ilivyoandikwa ni as if mmoja alikaa next ya mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…