Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,294
Hii ukiichunguza kwa makini, utabaini jinsi CHADEMA wasivyo makini na hence hawafai kupewa kuongoza.
Si Makini kwa vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ukiichunguza kwa makini, utabaini jinsi CHADEMA wasivyo makini na hence hawafai kupewa kuongoza.
Ila nimefurahi kusikia kitu kimoja -- kwama Chadema ndiyo waliomkabidhi mgombea wao kwa Takukuru. Hivi CCM wammewakabidhi kwa Takukuru wagombea wao wangapi walitoa rushwa? Big up Chadema. You have shown you can really fight ufisadi.
sijui sijaelewa??
Ina maana huyu jamaa amehongwa na kiongozi wa chadema asigombee??
Si Makini kwa vipi?