mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Ulivyopotea siku kadhaa za hivi karibuni nikajua nawe ulipanda ile gari ya simba ukawa, kumbe yu hai??Na Nimesikia Kuwa Kwa Sheria Mpya Ya CAF Kumbe Etoile Du Sahel Wana Ruhusa Ya Kumtumia Mchezaji Emanuel Okwi Kama Wakikubaliana Na MNYAMA Simba Sports Club Hivyo Habari Nilizozipata Punde Tu Ni Kwamba ILI Kuleta Nidhamu Hapa Mjini Uongozi Wa Klabu Bora Afrika Ya Mashariki Ya Simba Sports Club Umeamua Kuwaazima Etoile Du Sahel Mchezaji Wake Emanuel Okwi Akipige Ktk Mtanange Huo Dhidi Ya Yanga Hivyo Wanayanga Mnaweza Sasa Mkaanza Kutafuta Dawa Zenu Za Presha Kwani MSIYEMPENDA KAJA. Yanga Ikivuka Kwa Kuitoa Etoile Du Sahel Naachia Haja BIG Kariakoo Nzima!
Habar za kitambo mtani!