Swali jingine kwani lazima kumuona mtu katika jeneza. Wewe unahusika vipi na ndugu zake? tuwe na tamaduni za watu kutafuta ukweli sio gossips, hazitusaidii kitu. gazeti la Majira lilienda ndani zaidi likaandika mahojiano na mdogo wake huko iringa kijijini kabisa na akaconfirm kuwa ndugu yake ni no more na yeye anasimamia maslahi yake hapa nchini.Ikumbukwe kwamba balali alikuwa na uraia wa Marekani na mkewe ni Mganda hapa nyumbani pamoja na kutoka iringa alikuwa TX. Mnataka kuchukua raia wa nchi nyingine kumzika ahh sawa yaani mtu tx alisema anataka kuzikwa hapa. Jambo jingine hivi mnajua kwamba huyu kabla ya kifo chake safari za afrika Kusini kwa matibabu zilikuwa nyingi. Mnasema tu. nani ashiriki kuficha kifo cha mtu kwa sababu gani hasa. Mliona maiti ya wako jacko?Kama mnakuwa na haja naye kwanini msitafakari maisha wakati mwingine unacheka madaktari wazima wanatengeneza conspiracy story ili wawini uanasiasa. kweli siasa si hasa!
Umejielezea vizuri but unasahau kitu kimoja hata picha basi za mazishi hakuna. Umetoa mfano kuwa wacko jacko kuwa amefariki hatukuona mtu but umesahau maiti yake kabla haijazikwa ilipigwa picha. Serikali ya Marekani kupitia California walifanya hivyo kuondoa conspiracy theory za washabiki wake. Anapofariki mtu hatuna haja ya kuona maiti bali tunataka kuwa na uhakika huyo bwana amefariki tu basi. Na pengine tuweke kumbukumbu za kifo chake.
Wewe mbona ukienda katika mazishi unachukua picha, video na kumbukumbu zenginezo? Iweje mtu mkubwa kama huyo azikwe kama mtu aliyezikwa na jiji tu pasina kuwa na ndugu wala watu wa kumzika? Unaweza kusema ni conspiracy au vyovyote ila tunataka evidence. Kuenda kumuuliza ndugu yake Iringa haina maana kwani kama umeangalia movie ya minority report wao wanaweza kuwa katika kiza kama sie. Witness protection program mara nyingi inainvolve watu wawili au watatu wanaojua what is going on. Wengine wote mnapumbazwa