Balali alishakufa hatukuambiwa?


Umejielezea vizuri but unasahau kitu kimoja hata picha basi za mazishi hakuna. Umetoa mfano kuwa wacko jacko kuwa amefariki hatukuona mtu but umesahau maiti yake kabla haijazikwa ilipigwa picha. Serikali ya Marekani kupitia California walifanya hivyo kuondoa conspiracy theory za washabiki wake. Anapofariki mtu hatuna haja ya kuona maiti bali tunataka kuwa na uhakika huyo bwana amefariki tu basi. Na pengine tuweke kumbukumbu za kifo chake.

Wewe mbona ukienda katika mazishi unachukua picha, video na kumbukumbu zenginezo? Iweje mtu mkubwa kama huyo azikwe kama mtu aliyezikwa na jiji tu pasina kuwa na ndugu wala watu wa kumzika? Unaweza kusema ni conspiracy au vyovyote ila tunataka evidence. Kuenda kumuuliza ndugu yake Iringa haina maana kwani kama umeangalia movie ya minority report wao wanaweza kuwa katika kiza kama sie. Witness protection program mara nyingi inainvolve watu wawili au watatu wanaojua what is going on. Wengine wote mnapumbazwa
 
Leo napitia nyuzi za zamani tu na kufukua makaburi.
JF ya zamani ilikuwa na GT kweli kweli labda kwakuwa enzi hizo vitisho vilikuwa sio vingi.
 
Mzee enzi hizo ulikuwa mtu
 
Wakati huu uzi unaandikwa nilikua form 1[emoji23] [emoji23]
Shkamoo wahenga
 
sasa we ndo unajua kama kafa au umemuua ww ?? acha kuombea wenzako kifo
 
sasa we ndo unajua kama kafa au umemuua ww ?? acha kuombea wenzako kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…