iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Hii ni dhahiri Sasa kwamba baleke ametumwa kuihujumu Simba, hivi inakuwaje unalipwa mshahara halafu unatenda kinyume na maadili ya timu Kama mtumishi.
Hi haikubaliki Bora waondoke tu.
Aidha tujipange upya kuelekea mapumziko haya. viongozi wafanye usajili wa uhakika siyo Kama baleke
Hi haikubaliki Bora waondoke tu.
Aidha tujipange upya kuelekea mapumziko haya. viongozi wafanye usajili wa uhakika siyo Kama baleke