Baleke Ndiye Mfungaji Hatari zaidi Kwa Sasa NBC League!

Baleke Ndiye Mfungaji Hatari zaidi Kwa Sasa NBC League!

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Baada ya Mechi hizi za raundi ya tatu za Ligi ya NBC.

Imejidhihirisha Jean Othos Baleke ndiye mchezaji Hatari Zaidi kwenye safu ya Ushambuliaji Kwa Sasa Nchini Tanzania.

Sio kwamba wengine hawapo, Ila Yeye ndiye Kiumbe Katili zaidi ndani ya 18 akiwa na mpira ukilinganisha na Wengine kwenye Premier ya Tanzania.

Hat trick yake dhidi ya Coastal ni mojawapo ya Udhibitisho.

Tuungane Wote Wadau kukikuza Kipaji ichi. Mbadala wa Mayele.

1695336267342.jpeg

 
Baada ya Mechi hizi za raundi ya tatu za Ligi ya NBC.

Imejidhihirisha Jean Othos Baleke ndiye mchezaji Hatari Zaidi kwenye safu ya Ushambuliaji Kwa Sasa Nchini Tanzania.

Sio kwamba wengine hawapo, Ila Yeye ndiye Kiumbe Katili zaidi ndani ya 18 akiwa na mpira ukilinganisha na Wengine kwenye Premier ya Tanzania.

Hat trick yake dhidi ya Coastal ni mojawapo ya Udhibitisho.

Tuungane Wote Wadau kukikuza Kipaji ichi. Mbadala wa Mayele.
Huwezi kutoa hitimisho kwa ajili ya mechi ya Jana ambayo imechezwa nje ya uwanja
 
Kwahiyo hadi sasa kafunga mechi zote na ana goli zisizopungua 5

Yap, Mechi 3 Goli 5... Hatarii

Kwenye Ligi yeyote Duniani, kuwa na Wachezaji wa Calibre hii kunachangia sana Ligi hiyo kupanda chati...!


Anajua Kuji position, Footwork Fantastic na pia yeye na nyavu ni Marafiki anafunga..

Akiendelea kwa Mwendo huu atawaacha mbali wengine.
 
Baada ya Mechi hizi za raundi ya tatu za Ligi ya NBC.

Imejidhihirisha Jean Othos Baleke ndiye mchezaji Hatari Zaidi kwenye safu ya Ushambuliaji Kwa Sasa Nchini Tanzania.

Sio kwamba wengine hawapo, Ila Yeye ndiye Kiumbe Katili zaidi ndani ya 18 akiwa na mpira ukilinganisha na Wengine kwenye Premier ya Tanzania.

Hat trick yake dhidi ya Coastal ni mojawapo ya Udhibitisho.

Tuungane Wote Wadau kukikuza Kipaji ichi. Mbadala wa Mayele.

Ni mshambuliaji mzuri, ila sio hatari, ni mzuri sababu anajua kukaa kwenye nafasi ndio maana magoli yake ni ya tap in, mshambuliaji hatari kwa sasa ni Prince Dube
 
Baada ya Mechi hizi za raundi ya tatu za Ligi ya NBC.

Imejidhihirisha Jean Othos Baleke ndiye mchezaji Hatari Zaidi kwenye safu ya Ushambuliaji Kwa Sasa Nchini Tanzania.

Sio kwamba wengine hawapo, Ila Yeye ndiye Kiumbe Katili zaidi ndani ya 18 akiwa na mpira ukilinganisha na Wengine kwenye Premier ya Tanzania.

Hat trick yake dhidi ya Coastal ni mojawapo ya Udhibitisho.

Tuungane Wote Wadau kukikuza Kipaji ichi. Mbadala wa Mayele.

Mkuu ujue ndiyo unamchongea,tayari uto wameweka 50m kwa mtu atakayemvunja mguu Baleke.
 
Yap, Mechi 3 Goli 5... Hatarii

Kwenye Ligi yeyote Duniani, kuwa na Wachezaji wa Calibre hii kunachangia sana Ligi hiyo kupanda chati...!


Anajua Kuji position, Footwork Fantastic na pia yeye na nyavu ni Marafiki anafunga..

Akiendelea kwa Mwendo huu atawaacha mbali wengine.
Si ni juzi tu hapa mumetoka kumuogesha matusi kwa magoli ya wazi aliyokosa dhidi ya Power dynamo
 
Ni mshambuliaji mzuri, ila sio hatari, ni mzuri sababu anajua kukaa kwenye nafasi ndio maana magoli yake ni ya tap in, mshambuliaji hatari kwa sasa ni Prince Dube

Hamkosi maneno, 'Tap in' ndo nini..?

Kwaiyo Wapo wa 'Tap Out ..!

Huyu tuanze kumpa Maua yake Mapema..!

Mbona Mayele alipewa maua, Waarabu kisu kikali wakambeba.

Kuna timu mpaka muda huu hawajui mshambuliaji kwenye kikosi ni nani.?
 
Wabongo noma sana…!! Siku ya Power Dynamos alitukanwa kila aina ya tusi, ila kwa mechi ya jana tu, kashapewa sifa ya kuitwa mshambuliaji bora NBC League…!!!

Bongo Sihami…!!!

Ukiangalia amejirekebisha sana, nafasi ni kama zile za Dynamo, leo amezitumia vizuri
 
Si ni juzi tu hapa mumetoka kumuogesha matusi kwa magoli ya wazi aliyokosa dhidi ya Power dynamo
Katika mechi hiyo na Dynamos, licha ya kukosa mabao, yeye ndiye aliyetengeneza goli la kwanza la Simba na yeye ndiye aliyemponza beki wa Dynamos hadi kupewa kadi nyekundu (ambayo utopolo wanalalamika kwa nini wapinzani wa Simba wanapewa kadi nyekundu)
 
Katika mechi hiyo na Dynamos, licha ya kukosa mabao, yeye ndiye aliyetengeneza goli la kwanza la Simba na yeye ndiye aliyemponza beki wa Dynamos hadi kupewa kadi nyekundu (ambayo utopolo wanalalamika kwa nini wapinzani wa Simba wanapewa kadi nyekundu)

Kwahiyo hilo hamkujua mpaka mashabiki wa Simba mkawa mnalalamikia kuwa Baleke na Ayubu ndio aliyei cost timu kupata matokeo yale?
 
Ni mshambuliaji mzuri, ila sio hatari, ni mzuri sababu anajua kukaa kwenye nafasi ndio maana magoli yake ni ya tap in, mshambuliaji hatari kwa sasa ni Prince Dube

Dude tumekuwa naye misimu Kadhaa hakuwa na jipya ni wa Kawaida saana.!

Labda abadilike msimu huu
 
Back
Top Bottom