Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Hakuna kikao kimoja cha mashabiki kilichotoka na tamko la kumlaumu Baleke, Ayoub au mchezaji mwingine. Yale yalikuwa ni matamshi ya mtu mmoja mmoja, but actually for my opinion, the boys played wellKwahiyo hilo hamkujua mpaka mashabiki wa Simba mkawa mnalalamikia kuwa Baleke na Ayubu ndio aliyei cost timu kupata matokeo yale?