Hakuna kikao kimoja cha mashabiki kilichotoka na tamko la kumlaumu Baleke, Ayoub au mchezaji mwingine. Yale yalikuwa ni matamshi ya mtu mmoja mmoja, but actually for my opinion, the boys played wellKwahiyo hilo hamkujua mpaka mashabiki wa Simba mkawa mnalalamikia kuwa Baleke na Ayubu ndio aliyei cost timu kupata matokeo yale?
Ukichukukua matamshi ya mmoja mmoja ukiyakusanya unapata wingi. Ukiingia Twitter utakutana na watu kibao waliowalalamikia Ayoub na Baleke. Ukija humu JF ndio usiseme idad ni kubwa vile vile. Na mpaka inafikia wewe kufungua uzi ukijaribu kuwakingia kifua hao watu maanake umeona malalamiko ni mengi kwa hao watu wawili (Baleke na Ayoub)Hakuna kikao kimoja cha mashabiki kilichotoka na tamko la kumlaumu Baleke, Ayoub au mchezaji mwingine. Yale yalikuwa ni matamshi ya mtu mmoja mmoja, but actually for my opinion, the boys played well
Ipo hivi, Mayele = mbappe,Hamkosi maneno, 'Tap in' ndo nini..?
Kwaiyo Wapo wa 'Tap Out ..!
Huyu tuanze kumpa Maua yake Mapema..!
Mbona Mayele alipewa maua, Waarabu kisu kikali wakambeba.
Kuna timu mpaka muda huu hawajui mshambuliaji kwenye kikosi ni nani.?
Kwani tz kuna striker mwingine mbali na baleke??Yap, Mechi 3 Goli 5... Hatarii
Kwenye Ligi yeyote Duniani, kuwa na Wachezaji wa Calibre hii kunachangia sana Ligi hiyo kupanda chati...!
Anajua Kuji position, Footwork Fantastic na pia yeye na nyavu ni Marafiki anafunga..
Akiendelea kwa Mwendo huu atawaacha mbali wengine.
Ana goli ngapi??Ni mshambuliaji mzuri, ila sio hatari, ni mzuri sababu anajua kukaa kwenye nafasi ndio maana magoli yake ni ya tap in, mshambuliaji hatari kwa sasa ni Prince Dube
Yupo konikoni mkuuKwani tz kuna striker mwingine mbali na baleke??
Mshambuliaji ni MZIZEHamkosi maneno, 'Tap in' ndo nini..?
Kwaiyo Wapo wa 'Tap Out ..!
Huyu tuanze kumpa Maua yake Mapema..!
Mbona Mayele alipewa maua, Waarabu kisu kikali wakambeba.
Kuna timu mpaka muda huu hawajui mshambuliaji kwenye kikosi ni nani.?
Mi nafikiri tumpe mudaWabongo noma sana…!! Siku ya Power Dynamos alitukanwa kila aina ya tusi, ila kwa mechi ya jana tu, kashapewa sifa ya kuitwa mshambuliaji bora NBC League…!!!
Bongo Sihami…!!!
Kama ni mfuatiliaji wa mpira hukutakiwa kutumia neno "mbadala wa mayele"Baada ya Mechi hizi za raundi ya tatu za Ligi ya NBC.
Imejidhihirisha Jean Othos Baleke ndiye mchezaji Hatari Zaidi kwenye safu ya Ushambuliaji Kwa Sasa Nchini Tanzania.
Sio kwamba wengine hawapo, Ila Yeye ndiye Kiumbe Katili zaidi ndani ya 18 akiwa na mpira ukilinganisha na Wengine kwenye Premier ya Tanzania.
Hat trick yake dhidi ya Coastal ni mojawapo ya Udhibitisho.
Tuungane Wote Wadau kukikuza Kipaji ichi. Mbadala wa Mayele.
Alama yetu ni mnyama...mnyama ukimwendea vibaya haachi kukurarua na kutoka damu...hizo ni red card hazitawaacha salama wapinzani....Katika mechi hiyo na Dynamos, licha ya kukosa mabao, yeye ndiye aliyetengeneza goli la kwanza la Simba na yeye ndiye aliyemponza beki wa Dynamos hadi kupewa kadi nyekundu (ambayo utopolo wanalalamika kwa nini wapinzani wa Simba wanapewa kadi nyekundu)
Maajabu hayaishi aisee kwa wachambuzi wakibongo yaani Baleke ni bora kuliko Mayele?Kama ni mfuatiliaji wa mpira hukutakiwa kutumia neno "mbadala wa mayele"
kumuita baleke "mbadala wa mayele" ni kumkosea heshima kwa kiwango cha juu.
Neno "mbadala wa mayele" maana yake mayele ni bora kuliko baleke kama wote watawekwa pamoj.
Nakukumbusha kuwa mayele na baleke walicheza ligi moja msimu mzima na baleke akaibuka mfungaji bora, hii maana yake baleke hatakiwi kulinganishwa na mayele maana alishathibirisha hilo wakiwa wanacheza kwenye timu mbili tofauti kwa msimu mzima ndani ya ligi moja.
Inaelezwa kuwa Huyu Bwana ni 'JINI' Mayele Kalikimbia analijua...Maajabu hayaishi aisee kwa wachambuzi wakibongo yaani Baleke ni bora kuliko Mayele?
Kwanini mchezaji bora kapelekwa kwa mkopo ligi ya Lebanoni?
Baleke na Mayele wote wamecheza Tanzania huku Baleke akionekana katika mashindano ya klabu bingwa na ligi kuu na Azam Federation huku Mayele akionekana katika CAFCC, ligi kuu na Azam Federation lakini kwanini Baleke hajausishwa hata na tetesi za kutakiwa na timu yeyote ile nje huku tetesi zikasikika kwa Mayele tu na mwisho Mayele kasajiliwa Pyramids huku Baleke akisalia na timu yake ile ile?
Mayele na Baleke wote ni wa Congo, kwanini Baleke haitwi timu ya taifa ya Congo ilihali Mayele anaitwa hadi timu ya taifa?