saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema yuko tayari kufa lakini hatoacha kuendesha mapambano ya kulinda Mto Ruaha dhidi ya wakulima na wafugaji walioko kwenye eneo hilo.
Balile anasema yuko tayari kufa baada ya kupokea vitisho vingi baada ya kutaja familia 12 zinazoharibu Mto Ruaha akizungumza na wanahabari leo Disemba 24, 2022
Balile anasema anatishiwa kuawa na hizo familia ikiwa anatambua kuwa hakutaja majina ya viongozi hao hadi sasa na hakuna mtanzania hata mmoja anayezijua familia hizo. Sasa aliyemtishia kumuua ni nani?
Ni nini kilichowafanya mpaka kushindwa kuyataja majina ya Mawaziri, Majaji na Wabunge wanaohusika na uharibifu huo.
Balile anasema yuko tayari kufa baada ya kupokea vitisho vingi baada ya kutaja familia 12 zinazoharibu Mto Ruaha akizungumza na wanahabari leo Disemba 24, 2022
Balile anasema anatishiwa kuawa na hizo familia ikiwa anatambua kuwa hakutaja majina ya viongozi hao hadi sasa na hakuna mtanzania hata mmoja anayezijua familia hizo. Sasa aliyemtishia kumuua ni nani?
Ni nini kilichowafanya mpaka kushindwa kuyataja majina ya Mawaziri, Majaji na Wabunge wanaohusika na uharibifu huo.