Balile atamba niko tayari Kufa

Balile atamba niko tayari Kufa

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema yuko tayari kufa lakini hatoacha kuendesha mapambano ya kulinda Mto Ruaha dhidi ya wakulima na wafugaji walioko kwenye eneo hilo.

Balile anasema yuko tayari kufa baada ya kupokea vitisho vingi baada ya kutaja familia 12 zinazoharibu Mto Ruaha akizungumza na wanahabari leo Disemba 24, 2022

Balile anasema anatishiwa kuawa na hizo familia ikiwa anatambua kuwa hakutaja majina ya viongozi hao hadi sasa na hakuna mtanzania hata mmoja anayezijua familia hizo. Sasa aliyemtishia kumuua ni nani?

Ni nini kilichowafanya mpaka kushindwa kuyataja majina ya Mawaziri, Majaji na Wabunge wanaohusika na uharibifu huo.
 
Balile anasema anatishiwa kuawa na hizo familia ikiwa anatambua kuwa hakutaja majina ya viongozi hao hadi sasa na hakuna mtanzania hata mmoja anayezijua familia hizo. Sasa aliyemtishia kumuua ni nani?
Alikabidhi majina ya hizo familia 12 kwa VP baada ya kongamano. Kwahiyo VP na wasaidizi wake tayari wanazifahamu hizo 12 most powerful families in Tanzania.
 
Huu ndio unafiki naopinga, TAJA majina Ili hata ukifariki watu wajue A na B mbona Lissu au Dr Slaa walikua hawaogopi kunyoosha maelezo?

Ni sawa na list ya waliokwapua Mali za CCM JPM mwenyewe aliogopa kutaja mpaka anafariki Sasa inasaidia Nini kulindana? Kama huwezi kuwataja basi Kaa kimya.

As much as alikua hajitambui ila Musiba alikua spot on anataja tu directly bila kujali repurcussions.
 
Huu ndio unafiki naopinga, TAJA majina Ili hata ukifariki watu wajue A na B mbona Lissu au Dr Slaa walikua hawaogopi kunyoosha maelezo?

Ni sawa na list ya waliokwapua Mali za CCM JPM mwenyewe aliogopa kutaja mpaka anafariki Sasa inasaidia Nini kulindana? Kama huwezi kuwataja basi Kaa kimya.

As much as alikua hajitambui ila Musiba alikua spot on anataja tu directly bila kujali repurcussions.
Ndio maana watanzania wengi mashaka na hiyo movement watu wanaanza kutaja majina wenyewe alafu wanaibuka tena hao hao kina Balile wanasema Naibu Waziri tuliyemtaja kuruhusu mifugo iachiliwe sio Ulega Naibu Waziri wa Mifugo.
 
Alikabidhi majina ya hizo familia 12 kwa VP baada ya kongamano. Kwahiyo VP na wasaidizi wake tayari wanazifahamu hizo 12 most powerful families in Tanzania.
Wakati wanayakabidhi majina kwanini hawakuichia hiyo orodha kwa wananchi ili kuondoa utata mara waseme wanatishiwa kuuawawa unatishiwa kuuwawa na mtu ambaye humjui na hujamtaja jina?
 
Huu ndio unafiki naopinga, TAJA majina Ili hata ukifariki watu wajue A na B mbona Lissu au Dr Slaa walikua hawaogopi kunyoosha maelezo?

Ni sawa na list ya waliokwapua Mali za CCM JPM mwenyewe aliogopa kutaja mpaka anafariki Sasa inasaidia Nini kulindana? Kama huwezi kuwataja basi Kaa kimya.

As much as alikua hajitambui ila Musiba alikua spot on anataja tu directly bila kujali repurcussions.
Iko kazi kweri kweri !!
 
Balile hakutaja kama sehemu ya kuwatishia ili wampe bahasha. Kama kweli alikuwa serious alipaswa kuwataja wafahamike. Anampa makamu wa rais kwani huyo makamu wa rais ni muadilifu? Kama alimpa kutokana na nafasi yake alipaswa pia kuwataja, kisha huyo makamu wa rais akahangaike nao kwa cheo chake. Mahakama ya umma ina nguvu kuliko huyo makamu wa rais ambaye naye sio muadilifu wa kiwango hicho.
 
CCM ni familia pana ya majangili, wezi wa rasilimali za nchi, wahujumu uchumi, mafisadi na wabadhirifu wa mali za umma. Viongozi hawana uwezo, utamaduni wala uthubutu wa kuwajibishana kwa kuwa wote ni wachafu na maovu ya kila mmoja wao yanajulikana ndani ya wanafamilia hii.

Ukisikia sijui chama kutaka kujivua gamba, wakiguswa watu fulani nchi itatikisika, kuhakiki mali za chama, sasa hili la familia 12 zenye nguvu. Watuhumiwa wakuu katika mambo yote hayo ni porojo tu, sana sana nyuma yake ni mikakati siri ya wezi hawa kuzidi kulindana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wanayakabidhi majina kwanini hawakuichia hiyo orodha kwa wananchi ili kuondoa utata mara waseme wanatishiwa kuuawawa unatishiwa kuuwawa na mtu ambaye humjui na hujamtaja jina?
Kila kitu kina taratibu zake mkuu. Serikali ya Samia imejidhatiti ktk kulinda haki za binadamu. Lazima ijiridhishe kwanza na shutuma za Balile dhidi ya hizo familia 12.

Haiwezi kukurupuka kutangaza majina ya watu kisa tu Balile kayatoa. Who is Balile? Serikali Ina vyombo, lazima vichunguze.
 
Kila kitu kina taratibu zake mkuu. Serikali ya Samia imejidhatiti ktk kulinda haki za binadamu. Lazima ijiridhishe kwanza na shutuma za Balile dhidi ya hizo familia 12.

Haiwezi kukurupuka kutangaza majina ya watu kisa tu Balile kayatoa. Who is Balile? Serikali Ina vyombo, lazima vichunguze.
Sio Serikali itutajie anatakiwa ajaye yeye Balile ili vyombo vyote pamoja na wananchi waungane kujua ukweli
 
Sio Serikali itutajie anatakiwa ajaye yeye Balile ili vyombo vyote pamoja na wananchi waungane kujua ukweli
Basi sasa Balile kaamua kutumia hiyo approach ya kuyakabidhi majina kwa serikali ili yachunguzwe kwanza ikijiridhisha yatawekwa hadharani. Vuta subira mwana wane.
 
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema yuko tayari kufa lakini hatoacha kuendesha mapambano ya kulinda Mto Ruaha dhidi ya wakulima na wafugaji walioko kwenye eneo hilo.

Balile anasema yuko tayari kufa baada ya kupokea vitisho vingi baada ya kutaja familia 12 zinazoharibu Mto Ruaha akizungumza na wanahabari leo Disemba 24, 2022

Balile anasema anatishiwa kuawa na hizo familia ikiwa anatambua kuwa hakutaja majina ya viongozi hao hadi sasa na hakuna mtanzania hata mmoja anayezijua familia hizo. Sasa aliyemtishia kumuua ni nani?

Ni nini kilichowafanya mpaka kushindwa kuyataja majina ya Mawaziri, Majaji na Wabunge wanaohusika na uharibifu huo.
Awataje basi hao mapapa 12 basi

Ova
 
Alikabidhi majina ya hizo familia 12 kwa VP baada ya kongamano. Kwahiyo VP na wasaidizi wake tayari wanazifahamu hizo 12 most powerful families in Tanzania.
Kama wapo unafikiri watatajwa....

Ova
 
Basi sasa Balile kaamua kutumia hiyo approach ya kuyakabidhi majina kwa serikali ili yachunguzwe kwanza ikijiridhisha yatawekwa hadharani. Vuta subira mwana wane.
Nakubaliana na wewe asingetaja sasa ili kuondoa taharuki
 
Huu ndio unafiki naopinga, TAJA majina Ili hata ukifariki watu wajue A na B mbona Lissu au Dr Slaa walikua hawaogopi kunyoosha maelezo?

Ni sawa na list ya waliokwapua Mali za CCM JPM mwenyewe aliogopa kutaja mpaka anafariki Sasa inasaidia Nini kulindana? Kama huwezi kuwataja basi Kaa kimya.

As much as alikua hajitambui ila Musiba alikua spot on anataja tu directly bila kujali repurcussions.
Kweli kabisa,nchi hii wanapenda kufichaficha kutotaja majina
Kuwalinda watu fulani fulani

Ova
 
Back
Top Bottom