Itategemea na nguvu yao ktk nchi. Kama hata serikali inawaogopa, usitegemee kuwa watatajwa.Kama wapo unafikiri watatajwa....
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itategemea na nguvu yao ktk nchi. Kama hata serikali inawaogopa, usitegemee kuwa watatajwa.Kama wapo unafikiri watatajwa....
Ova
Eh basi kama ndiyo hivyo nchiItategemea na nguvu yao ktk nchi. Kama hata serikali inawaogopa, usitegemee kuwa watatajwa.
Basi sasa Balile kaamua kutumia hiyo approach ya kuyakabidhi majina kwa serikali ili yachunguzwe kwanza ikijiridhisha yatawekwa hadharani. Vuta subira mwana wane.
Mpaka sasa hivi kwenye sakata hili ni mimi tu Mtoto wa Shule ambaye nimediriki kumtaja mmoja ambaye ni JOHN HECHE! Nikiwajua wengine nitawataja bila kuogopa. Na mlio na majina na mnaogopa kuwataja nipeni hayo majina INBOX niyataje hapa!MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema yuko tayari kufa lakini hatoacha kuendesha mapambano ya kulinda Mto Ruaha dhidi ya wakulima na wafugaji walioko kwenye eneo hilo.
Balile anasema yuko tayari kufa baada ya kupokea vitisho vingi baada ya kutaja familia 12 zinazoharibu Mto Ruaha akizungumza na wanahabari leo Disemba 24, 2022
Balile anasema anatishiwa kuawa na hizo familia ikiwa anatambua kuwa hakutaja majina ya viongozi hao hadi sasa na hakuna mtanzania hata mmoja anayezijua familia hizo. Sasa aliyemtishia kumuua ni nani?
Ni nini kilichowafanya mpaka kushindwa kuyataja majina ya Mawaziri, Majaji na Wabunge wanaohusika na uharibifu huo.
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema yuko tayari kufa lakini hatoacha kuendesha mapambano ya kulinda Mto Ruaha dhidi ya wakulima na wafugaji walioko kwenye eneo hilo.
Balile anasema yuko tayari kufa baada ya kupokea vitisho vingi baada ya kutaja familia 12 zinazoharibu Mto Ruaha akizungumza na wanahabari leo Disemba 24, 2022
Balile anasema anatishiwa kuawa na hizo familia ikiwa anatambua kuwa hakutaja majina ya viongozi hao hadi sasa na hakuna mtanzania hata mmoja anayezijua familia hizo. Sasa aliyemtishia kumuua ni nani?
Ni nini kilichowafanya mpaka kushindwa kuyataja majina ya Mawaziri, Majaji na Wabunge wanaohusika na uharibifu huo.
Jambo la kufurahisha Pascal Mayalla sikumuona kwenye kusanyiko hilo.Naye mnafiki tu.