TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Asante sana kwa maoni yako.hata issue ikibuma kusiwepo na ushahidi.
Katika hili la kuficha nyayo, nikukumbushe tukio la " sensitive dossiers " zilizoachwa stend ya basi na highly qualified UK intel. It was intelligence glitch of highest order katika historia ya utendaji kazi wa "vitengo" vya UK.
Kwa maelezo hayo hapo juu, nakuomba mkuu, usome barua ikiwa ndani ya bahasha.