Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78

Kwa hiyo miradi yooote ya maji nchi nzima kaweka Magufuli peke yake?? Ee maana unasema hakuna cha maana kilichofanyika kabla ya Magufuli . Usambazaji wa maji kazi kubwa nchini imefanywa na Nyerere na Kikwete. Magufuli alikuwa anazindua tu miradi ya maji ya Kikwete. Mloganzila ni kazi ya Magufuli ? Emergency Dept ya Muhimbili kaiweka Magu? Mwendokasi kaweka Magu? Na mengine meeeengi. Mnazidisha mno misifa kwa Magu. Ndiyo, yapo mengi kafanya, lakini kamwachia Samia matatizo mengi.

Magu alikuwa anadhulumu fedha kwa kutumia kina Sabaya na mbinu zingine chafu. Alikuwa anasababisha biashara nyingi zifungwe. Hiyo pekee imetuletea matatizo ya muda mrefu.

Kwa kutoajiri walimu muda wote huu, huku idadi ya wanafunzi mashuleni ikiongezeka, kutokana na "Elimu bure", Magu kamuachia Samia bomu.
 
Huyu mwandishi nashauri arejee maongezi ya Hayati Magufuli maana alikuwa anasema tumekopa sana
 
Fisadi anawekeza kwenye public goods mie binafsi namuunga mkono....
Lowasa aliwezesha ujenzi wa shule za kata, lakini ni fisadi mkubwa. Kama Magufuli angekuwa na nia njema kweli, angeanzisha kodi kwa wenye nyumba za kupangisha.

Serikali ingepata siyo mabilioni, bali trilioni. Kwa nini hakufanya? Nimemtaja Magu sababu ndio rais aliyeonesha uthubutu mkubwa zaidi.
 
1. Magu alikomba hela za mfuko wa korosho.

2. Akaingia kwenye account za watu na kukomba hela.

3. Akavamia wafanyabiashara wa bureau de change akatwaa pesa zao.

4. Akatumia pesa kununua wanasiasa wa upinzani.

5. Akatumia pesa kwenye chaguzi
alizokwenda kuzivuruga anyway.
 
Lini palikuwa rahisi? Washenzi nyie si mliharibu mambo miaka yote 6 hadi mkaanza kupora pesa za matajiri?

Watu wakati wanalalamika kwamba vyuma vimekaza si mlikuwa mnawaita wapiga dili na hawafanyi Kazi? Kenge wakubwa nyie..

Saizi Samia anajitahidi kulaonisha lakini anakumbana na ma riba ya mikopo mliyopiga na kihonga,kujenga Chato na upumbavu wa kununua wapinzani na mamairadi uchwara..Washenzi wakubwa nyie.
 
Majambazi tuu ni vile ma ccm huwa wanalindana ila walitakiwa kuwa nyuma ya nondo saizi.
 
Hapa inabidi ahojiwe waziri wake wa fedha, kwa kuwa walitueleza wanatumia fedha za ndani, ni vipi deni kupaa!
 
Tatizo ni wanafiki sana
 
Saizi mifuko ya pension ina madeni balaa yaani ni hatari karibu ina collapse.Yule bwana hajui kuzalisha pesa ila kuharibu na kitumia vya wengine,hovyo kabisa.
 
Wewe na huyo kenge wako mwendazake ni wapumbavu tuu,,pesa zote mlizokopa mlifanyia nini cha maana?

Leo unatunga upumbavu wako mara ooh tozo za kulipia uviko 19 mara sijui nini yaani unatapa tapa wakati umeambiwa matumizi ya pesa husika.

Unadhani Samia ni mtu muongo na mshenzi kama mtu wako? Samia yuko clear na malengo ya pesa zake na matokeo yanaonekana.
 
Jamaa anahisi wenye pesa ya kupanda ndege wanapatikana Dar tu. Uwanja wa ndege ni mradi utakaonufaisha umma! Watu wakiweza kula flight moja kwa moja toka chato mpaka duniani huko ni achievement kubwa sana!
We nae ni kenge tuu,kwa hiyo inakopa pesa kwa masharti ya kibiashara unajenga uwanja useless Chato afu unasubiria siku watu wakija kupata pesa miaka ijayo ndio uwe na tija? Una akili timamu?
 
We ni kenge kama kenge wengine,,pesa za masharti ya kibiashara ni pesa at your own risk na hizo mikopo hazina masharti yoyote na wanapenda Sana ukope kwa staili hiyo Ili upigwe vizuri..

By the way mikopo mingi ya kibiashara haitolewi na WB na IMF bali kutoka financial markets kama mabenki binafsi.

Samia hakopeshwi mikopo ya kibiashara bali concessional loans ambayo hadi ukopeshwe basi wamekuamini na wanataka uwazi na uwajibikaji .
 
Mikopo yooote ya JPM tunajua ilifanya nini nakila mtanzania anaiona na iliyokamilika anaifaidi. Tunasubiri isiyokamilika kama JKN Hydro dam ikamilike mwezi ujao. (ingawa kwa huyu mama na akina January wake-nina mashaka!)
Ilifanya nini? Tunaona nini?
 
We nae ni kenge tuu,kwa hiyo inakopa pesa kwa masharti ya kibiashara unajenga uwanja useless Chato afu unasubiria siku watu wakija kupata pesa miaka ijayo ndio uwe na tija? Una akili timamu?
Kwa akili hizi bora hata Magu angekugongea dadaako ampe ukuu wa wilaya pengine ungekuwa hata dereva wake😂
 

Tatizo lako unasoma articles zilizoandikwa kwa lugha ya layman na wewe unatafsiri word for word without understanding where the author is coming from in terms of regulation, industry norms and the reason for such penalties.



Umeona hiyo FCA fines zao zimezingatia Credit Suisse waliamua kusamehe $200m so ni sehemu ya settlement vinginevyo fine ingekuwa kubwa zaidi tofauti na porojo zako.

Pili, deni la taifa sio lote ni la wizara ya fedha (serikali kuu), humo kuna majumuisho na madeni ya taasisi zingine za serikali. But

Mfano TANESCO anapokopa anatakiwa alipe mwenyewe pamoja na hivyo deni lao litakuwa kwenye vitabu vyao na vitabu vya serikali; ukishindwa kulipa kama ni government guarantee loan serikali inatakiwa kugharamia hilo deni.

Hizo kampuni za Mozambique zilienda kukopa bila ya idhini ya serikali yet mkopo unadhamana ya serikali na hawakujua mpaka hizo taasisi ziliposhindwa kulipa.

Can you see why IMF would be pissed wakati wameweka frameworks za stress test, wewe unakwepa njia zao kwenda kukopesha nchi maskini na uishirikishi serikali kuu.

Vualla mambo yanaenda ndivyo sivyo, ndio maana wanakwambia hawakufuata rules na rushwa ilitumika, in other word hawakufuata taratibu za kimataifa za kukopesha nchi maskini.

Serikali kuu inaweza kopa bila ya idhini ya IMF/WB but there is a catch ukishindwa kulipa madeni yako, structural adjustment policies zinafuata. Ukikataa kupangiwa nao ukopeshwi tena mnakufa njaa. Na ukienda tena private bank upati mkopo kwa sababu ulishindwa kulipa deni lao you are not credit worthy na huyo CEO si ajabu akatimuliwa kazi kwa kutoa mikopo yenye high risk bila ya kufuata taratibu za IMF.

Ndio maana pia kuna ranking the nations credit kutoka kwa watu ‘Moody’s’ na ‘Standard and Poor‘ kuwaambia private lenders credit worthiness za nchi.

Hizo ni baadhi ya sababu nchi maskini kwenda kukopa bila ya kuongea na IMF mambo yakienda kombo inajitengenezea matatizo makubwa siku wakirudi kutaka mikopo yao.

Matter of fact crisis za 70 na 80’s zilitengenezwa na private banks kukopesha nchi maskini ovyo; na ndio sababu zilizopelekea kufutwa kwa madeni ya nchi maskini na donor lenders, private banks wao wakaja ‘Brady bonds’ na reforms za kukopesha nchi maskini zikafanywa na IMF/WB ili makosa yasijirudie tena.

Ni hivi kuna topics personal nikisoma comment najua huyu ni mbobezi, huyu ni average na huyu unga unga; na wewe private finance bado sana. Una unga unga tu kwa kusoma article at face value but can’t reason behind the course of action.
 
Kwa nini miradi inasuasua wakati mwendazake alikopa Trilioni 29 in five years period? Mama SSH hiyo miradi kaikuta, sasa tuambie wewe hizo 29 Trilioni zilizokopwa kwenye commercial banks zimefanya kazi zipi na zipi?
Swali zuri Til.29 zimefanya nini ilhali hakuna hata mradi mmja uliokamiloka miaka yote 6? Majizi yalishika hatamu kwa mgongo wa uzalendo
 
Kwa akili hizi bora hata Magu angekugongea dadaako ampe ukuu wa wilaya pengine ungekuwa hata dereva wake😂
Bora agonge kuliko upuuzi wake na wako unaotetea hapa.Eti nyie machadema na upopoma wenu Ndio mnataka kushika nchi? 😀😀.

Hiyo nchi labda ya Mbowe..Narudia til.29 zimefanya nini ilhali hakuna hata mradi uliokamiloka miaka yote 6?
 
Bora agonge kuliko upuuzi wake na wako unaotetea hapa.Eti nyie machadema na upopoma wenu Ndio mnataka kushika nchi? 😀😀.

Hiyo nchi labda ya Mbowe..Narudia til.29 zimefanya nini ilhali hakuna hata mradi uliokamiloka miaka yote 6?
Sasa miradi sini multiple ilikuwa inafanyika at once!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…