Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78

Naona Mheshimiwa Dkt Mipango ambaye alikuwa Waziri wa Fedha atupe jibu nini kimesababisha deni la taifa kuongezeka kwa kasi kwa kipindi cha miaka 5. Na muhimu kwa Watanzania wapate kujua hizi Fedha zilifanya kazi gani
 
Arrghh JPM alifanya bogus deals

nmeona post umeandika mama nae atanunua madege kwa style hiohio, vp kuna faida nyingine ambazo sisi raia hatuzijui ama
ni yaleyale ya kujikosha?
Hamna cha faida wala nini...

Na kama faida ipo haiwezi kuendana na uwekezaji unaofanyika hata kidogo....

Unajua hapo kabla hakuna hoja waliyokuwa wanapenda kuitumia kama eti ATCL itaongeza chachu ya utalii...

Niliuliza mara kadhaa hapa ni watalii kutoka pande zipi za dunia wanaoshindwa kutembelea Tanzania kwa sababu tu hatuna ndege... sijawahi kujibiwa hili swali!!

Kama ni kusafirisha watalii ndani ya nchi kutoka destination moja hadi nyingine, tayari tulishakuwa na FastJet na Precision Air; na kampuni zingine zinazomiliki ndege ndogo kama vile Coastal.

Matokeo yake, tukana bora kuwafanyia fitina FastJet ili ATCL waweze kufanya vizuri, matokeo yake hadi sasa hakuna jipya!! Kodi kutoka kwa FastJet tunakosa, huko ATCL kwenyewe ndo hivyo tena!!
 
Mbona tuliambiwa nchi inajengwa kwa fedha za ndani?
 
Nikikwambia ninafahamu ‘public finance’ with that reasoning I can do any ‘bullion search’ based my analysis of the case study (hapa ndipo personal intelligence inapotumika kwenye google research, you need to have the foundation first and understand the topic).



Kwa upande wa serikali ya Mozambique kwa sababu wanaamini wahusika wa huo ufisadi raisi, AG, Benki Kuu na waziri wa fedha ndio walikuwa washiriki wa ufisadi (with their involvement DMO na anyother mechanism to prevent stress zilizimwa, kwa msaada wa Credit Suisse kutofuata procedures).

Serikali yao imefungua kesi ya kufuta baadhi ya hilo deni; kama uta google zaidi utakutana na taasisi za nchi yao zinazoelewa ‘public finance’ deni lote lifutwe kwa kutofuata IMF/WB fire walls; mfano (Mozambique watchdog urges Credit Suisse to fully cancel scam-linked debt)

Hiyo corrupt regime ndio iliyosaini hiyo mikataba ya ovyo na Credit Suisse; ndio hao hao waliotoa baraka za kuchimba gas yao; ndio aina ya viongozi watu kama na wewe Zitto mnawaona mfano wa kuigwa. Bila ya hata kusoma terms za mikataba yao.

Narudia tena wewe huna reasoning capacity ya mambo unayohamasisha zaidi ya kuwaingiza mbumbumbu mkenge na mikogo sijui ulikuwa mbeba mikoba wa beberu gani kwenye research zake.
 
We inaonekana umejaa chuki tu dhidi ya JPM, unataka kusema majengo ya hizo hospital hayana viwango kweli?!!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
WHAT'S YOUR EXACT POINT HERE...

Naona bado unazunguka zunguka mle mle tu...

We jamaa una matatizo gani?!! Huelewi, au hiyo lugha iliyoandika hizo taarifa unazo-Google inakupa taabu?

Hapa zimethibitishwa kashfa kubwa za corruption kati ya Credit Suisse na Msumbiji!

Watu tunaponda hii mikopo ya taasisi binafsi kama hawa Credit Suisse

JPM ndo kakopa kutoka kwa Credit Suisse ambao mara kwa mara wamekuwa wakikumbwa na tuhuma za ufisadi !!

Lakini ni wewe wewe ndie unatetea mikopo ya JPM kwa Credit Suisse..

Pamoja na hayo, jioni kabisa ndo unadai...
Hiyo corrupt regime ndio iliyosaini hiyo mikataba ya ovyo na Credit Suisse; ndio hao hao waliotoa baraka za kuchimba gas yao;
Wakati hilo nishasema since Day 1 kwamba...
Na ulivyo poyoyo, bila aibu unasema:-
ndio aina ya viongozi watu kama na wewe Zitto mnawaona mfano wa kuigwa. Bila ya hata kusoma terms za mikataba yao.
Wewe si ndo unatetea hiyo mikopo kutoka Credit Suisse?! Sasa anayetetea na anayeponda, ni nani anawaona hao watu kama ni mfano wa kuigwa?!

We jamaa BURE KABISA
Narudia tena wewe huna reasoning capacity ya mambo unayohamasisha zaidi ya kuwaingiza mbumbumbu mkenge na mikogo sijui ulikuwa mbeba mikoba wa beberu gani kwenye research zake.
1. Unatetea mikopo kutoka Credit Suisse
2. Unafahamu kwamba mikopo ya Credit Suisse kwa Msumbiji imeambatana na grand corruption

In contrary, napinga mikopo ya Credit Suisse and other private banks kwa hoja kwamba hawa jamaa wanatumia sana corruption, na higher interest rate

Lakini pamoja na yote hayo, mimi ninayepinga mikopo ya Credit Suisse unaamini naziona hizo Corrupt Gangs ndo nmfano wa kuigwa...

Hivi najadiliana na mtu wa aina gani hapa?! Do you really have what it takes to argue these matters?

Halafu hadi hapo bado unajiona una reasoning yoyote?!

Halafu inaelekea HUJUI kwanini hiyo screenshot wamesema huo mkopo ulikuwa "...unconstitutional and illegal under Mozambique Law"

Kwa kukosa ufahamu unadhani serikali ilikuwa haifahamu...

Unashindwa hata kujiuliza ikiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wizara ya Fedha walikuwa wanafahamu, sasa ni serikali ipi iliyokuwa haifahamu!!

FYI, wamesema ni unconstitutional and illegal under Mozambique Laws kwa sababu Bunge halikujulishwa, lakini serikali walikuwa wanafahamu A-Z...

Na ndo maana jana nilikuambia hapa bank ya kibeberu haiwezi kutoa mkopo kwa taasisi ya serikali bila guarantee kutoka serikalini!!!

MR. REASONING... TRY HARDER TO REASON COZ' YOU DON'T SOUND LIKE A REASONING GUY!
 
You are full of self grandiose.

Msingi wa mada ni Magufuli alikopa sana private.

Quote yangu ya kwanza uliyochukua ilikuwa inasema, hilo aliwezakani yaani Magufuli akope kwa kuficha; IMF na WB wakijua mziki wake utakuwa mwingine.

Nikatolea mfano wa sakata la Mozambique na kinachoendelea madhara ya kukopa bila IMF na WB kujua.

Ukaja kuleta nonsense zako za uhuru wa nchi kukopa without them (IMF na WB) na kuleta habari za ‘Paris Club’ which you have limited knowledge off at the same time introducing the concept of public debt in our arguments.

Sasa hivi unakuja kuniambia mjadala wetu unahudu uzuri sijui ubaya wa kukopa private banks; ndio nilichoandika icho kwenye post yangu uliyo quote hadi kufikia hapa?

Sio lazima niwe sawa all the time I get a lot of things wrong, but if you gonna challenge ppl at least bear the reasoning to do so.

Una unga unga tu nikisema nikuchimbe kuhusu Macaulay economic formula ya ku assess uwezo wa nchi kulipa deni ata kama hatuna data zote za nchi husika. Kuelewa tu naongelea nini kwako mziki mwingine bila ya ku google (kibaya zaidi nina economic formula nyingi za ku assess public finances) zinazotumiwa na international lenders mbele yangu based on public finance assessments.

Sio kila mtu anajua kila kitu ndio maana unioni kuwachokoza engineers wa JF najua mipaka yangu; ila ukiamua kuchallenge mtu (haya sio mashindano) hakuna kushindwa kuna kupata new knowledge but the. make sure you know your staff from the roots sio ku google na kuja na cheap points most of which are ignored trust me kwa sababu ilikuwa nikisoma tu naona limitations zako either za misinterpretation or finance reasoning.

Asubuhi njema.
 
Tena mazito, yetu macho...!
 
Halafu hapa umejigamba wewe ni Mtalaamu wa Public Finance, kwahiyo utaalamu wako unakuongoza kwenye kufanya research...

Unaonaje basi, kutoka kwenye hiyo link yako, ukiifuata mwenyewe kisha u-copy kipengele kinachotoa muongozo kwa Private Banks kukopesha nchi maskini...

Halafu mbona nina mashaka kwamba inawezekana hata hujui tofauti kati ya World Bank na IMF? Anyway, tuache hilo la kujua tofauti.... weka hiyo part inayotoa mwongozo!!
Kukusaidia tu personal nina ‘public finance’ module nzima mbele yangu endorsed by all international donors stakeholder IMF, WD and the rest na nishaisoma yote kitambo.
Still you've proved you've little understanding...

Halafu, mona mara kwa mara huwa unaandika "WD" badala ya "WB".... is it a mere mistake au nichukulie kwamba ni sababu tosha kabisa ya kwanini mara kwa mara umekuwa ukiongea vitu irrelevant!

To mention few, there's here...
Sasa kumaliza matatizo ya defaults za mikopo kipindi hiko yaani (kuanzia late 70-80’s) kwa kuelewa private banks ndio mzozo wa tatizo because they were unregulated and the cause of high debt. IMF na WD walishauri mikopo
And here
Kama nilivyokwambia awali ata private banks can source loans outside just IMF/WD as middlemen.
And many more..
YOTE HAYO, wala sina haja nayo manake HAIWEZEKANI kila wakati uwe unatoka nje ya mstari...

Link ni yako mwenyewe...

Mimi nakuomba jambo moja TU kutoka kwenye hiyo link... onesha sehemu walipo-outline masharti kwa Private Banks wanapotaka kukopesha kwa nchi maskini. Hapo ndipo nimekuwa nikikueleza mara kwa mara!!

Hayo mambo ya polisi hujui chochote!! Unajigamba kwamba umesoma Public Finance lakini hayo mambo ni ya kiuchumi, na sio finance!!

Mtu yeyote aliyesoma uchumi at college level, keshayasoma sana hayo ma-policy darasani!! Wewe kama umeyasoma, basi umeyagusa gusa tu kama tulivyogusa gusa wengine kwenye finance wakati core study ni economy!

So, STOP hizi mbwembwe zako za kwamba sijui umesoma Public Finance, and all that crap!
So given any case study and the standard reasoning related to public finance norms I know what to google to get the right articles to answer any query of yours and dig even deeper to challenge you are understanding on the same issue.
Sasa mbona kila wakati unakuja na irrelevant materials?! Au umesoma Public Finance kupitia Mature Age Entry?!
On this Creddit Suisse saga (ndio maana nikakwambia unahitaji foundation of the discipline to argue).
Mengi uliyosema kuhusu Credit Suisse umedanganya, na nimekuonesha ni wapi ulidanganya; na ndo maana baada ya kukuonesha uongo wako, ndo ukaanza kuleta habari za FCA wakati wewe ulidai ni IMF ndio waliwatia adabu Credit Suisse!
Kwa sababu hujui ata tofauti ya varying government debts na shughuli za DMO kwa tafsiri za IMF and why wahusika wa huo ufisadi Mozambique officials thought it was import to bypass the international set firewall.
Pamoja na kujua kwako, umeshindwa kabisa kuonesha ni namna gani unajua!!
Like I told you public finance reasoning is based on social science and it is influenced by historical events leading to formulation of IMF/WB policies on risk assesments which every nation has to adhere too.
Wacah wewe...

Unataka kuleta nondo kuhusu formulationm of IMF/WB policies on risk assessment tena? Samahani bhana, tusifike mbali kote huko manake ikiwa mambo madogo tu umeshindwa kuyatolea ufafanunuzi, ukifika hadi huko si itakuwa balaa?

WAIT... nimekosea!! Kwenye hizo nondo za police formulation, mi niwekee kipengele ya muongozo wa private banks tu; ITANITOSHA!!
In addition to that kuelewa sababu za fines walizopewa hao watu nje ya box you need to have studied accountancy (aspects of auditing) na sheria zake kwa nchi husika ndio zilizotumika kuwaadhibu.
Fine ambazo hata wewe mwenyewe ulikuwa hujui zimetokana na nini!!!

Man, acha porojo!! Duniani kote, especially with the influence of the United State, kulitungwa sheria za kudhibiti Financial Crimes!!

Target ya kwanza kwa US, ilikuwa prevention of money laundering baada ya kuonekana mabenki mengi yanatumika kupitishia pesa za kufadhili ugaidi.

In addition to that, illegal businesses like arms and drug trafficking, zilikuwa zinatumia benki across the global kutakatisha pesa chafu!!!

Hapo ndipo kukapitishwa tight financial crimes acts across the global!

Kwa wafuatiliaji wa mambo, watakumbuka hiyo act Tanzania ilileta sokomoko kweli kweli bungeni, kwa sababu Wabunge Waislamu waliona sheria ni kama wanawalenga Waislamu!

Kwahiyo acha porojo zako wewe... hakuna cha kusoma accountancy hapo!!

We jamaa una viroja sana!!
As far as national debt is concerned it is not a good idea to hide it from IMF and WB kwa sababu likija hadharani kuna consequences zake ata nchi za ulaya; just ask Greece bila EU na Angela Merkel mziki wao ungekuwa mwingine.
Sasa hilo linahusiana nini?!

Au umeamua kubadilika?! Au unajisahaulisha ulidai kosa lililotokea Msumbiji ni kwa Credit Suisse kutopata approval ya IMF?! Au unamaanisha ni hao Credit Suisse ndio walitakiwa kuwaeleza IMF kuhusu deni la Msumbiji?
Angalia

Wapi nimesema ilifutwa kupunguzwa interest ya deni? Hiki ndicho nilisema kuhusu 200M:-
Hicho nilichosema kinafana na hizo porojo zako?

Hubu nijuze jambo moja...

Kama una Genetic Understanding Problem, please let me know kuliko kupotezeana muda!
 
Mambo ya Public Finance uwezi debate acha

Kidali

Ni kwa mamlaka gani FCA wameweza toa adhabu zao na sheria zipi wametumia kutoa hizo in respect of their articles.

Similarly US wametumia sheria zipi kutoa maamuzi yao?
 
You are full of self grandiose.

Msingi wa mada ni Magufuli alikopa sana private.
NDIYO... kumbe ulitaka sote tujitoe ufahamu kama wewe kutetea mikopo ya private banks!
Quote yangu ya kwanza uliyochukua ilikuwa inasema, hilo aliwezakani yaani Magufuli akope kwa kuficha; IMF na WB wakijua mziki wake utakuwa mwingine.
Kuna mahala popote nilipozungumzia JPM kuwaficha IMF?!

Btw, hivi hoja ilikuwa serikali kuificha IMF, au kwamba private banks haziwezi kukopesa nchi maskini bila approval ya IMF?! Kama unataka kujisahaulisha, wewe huyu hapa chini:-
Hivi unadhani mabeberu ata kwa kupitia private banks yanakopesha nchi maskini bila ya IMF na WB kufanya stress test kama unaweza kulipa madeni yako huko mbele based on your tax collections.
Kwamba, eti private banks haziwezi kukopesha bila IMF!
Nikatolea mfano wa sakata la Mozambique na kinachoendelea madhara ya kukopa bila IMF na WB kujua.
Ulichosema sio madhara ya KUKOPA bila approval ya IMF bali KUKOPESHA bila approval! Na kama hilo nalo unataka kujisahaulisha, post yako hii hapa:-
Kwahiyo acha porojo zako
Ukaja kuleta nonsense zako za uhuru wa nchi kukopa without them (IMF na WB) na kuleta habari za ‘Paris Club’ which you have limited knowledge off at the same time introducing the concept of public debt in our arguments.
Kuna nonsense kama hiyo ya kukataa ulichoandika mwenyewe?!

Kuna nonsense kama hiyo upande mmoja unadai kosa ni private bank kukopesha bila approval ya IMF, na upande mwingine unadai serikali haiwezi kukopa bila approval ya IMF...

Hivi kuna nonsense kama hiyo?! Oh! Lemme guess... maybe you know that's more than being nonsense!
Sasa hivi unakuja kuniambia mjadala wetu unahudu uzuri sijui ubaya wa kukopa private banks; ndio nilichoandika icho kwenye post yangu uliyo quote hadi kufikia hapa?
IKiwa hata hapo juu nimekuonesha jinsi gani unavyobadilika badilika, hivi unajua kweli huu mjadala unahusu nini?!
Sio lazima niwe sawa all the time I get a lot of things wrong, but if you gonna challenge ppl at least bear the reasoning to do so.
You been WRONG MANY TIMES... swallow it!

Au unataka nianze kukuorodheshea uongo ambao umeusema hapa?
We jamaa una viroja sana...

Ulichoandika ni hiki hapa:-
Kwahiyo kuandika hivyo kumbe ulilenga kuonesha unajua ma-formula?! What's so special kutoka kwenye hicho ulichoandika?!

Narudia, pamoja na mara kwa mara kujigamba sijui umesoma hiki, mara mtalaamu wa kile lakini maelezo yako yanaonesha upo mweupe mno!!
Sio kila mtu anajua kila kitu ndio maana unioni kuwachokoza engineers wa JF
Of course lakini tatizo ni kwamba, hata unachojigamba kukijua, bado HUKIJUI... yaani unaruka ruka tu!
 
Public Finance juu ya uwezo ku debat, sasa basi

Kidali

Ni kwa mamlaka gani FCA wameweza toa adhabu zao na sheria zipi wametumia kutoa hizo in respect of their articles.

Similarly US wametumia sheria zipi kutoa maamuzi yao?
Acha kuruka ruka... jibu kwanza hii hoja:-
Mimi nakuomba jambo moja TU kutoka kwenye hiyo link... onesha sehemu walipo-outline masharti kwa Private Banks wanapotaka kukopesha kwa nchi maskini. Hapo ndipo nimekuwa nikikueleza mara kwa mara!!
 
Acha kuruka ruka wewe

Nilichokutaka ufanye ni hiki hapa chini:-
Mimi nakuomba jambo moja TU kutoka kwenye hiyo link... onesha sehemu walipo-outline masharti kwa Private Banks wanapotaka kukopesha kwa nchi maskini. Hapo ndipo nimekuwa nikikueleza mara kwa mara!!
You don't need to type anything... just COPY and PASTE, and that's it!!!
 
Taja mradi wowote uliokamilika unaozidi 2t ukiachia ndege za cash zisizo na tija. Au unadhani bado watu ni wajinga?
Basi tusaidiane hizo hela alizokuwa anakopa alikuwa anazificha wapi. Tuchunguze account zake
 
Shujaa huwa halilii bunduki! Kama aliogopa basi aendelee kuogopa badala ya kuleta unafiki
Ndugu yangu Kimbunga, mbona unakuwa soo NAIVE, 98% ya wanasiasa ni wanafiki, uhai wao umo kwenye unafiki na uongo. Tukitaka wasiwe wanafiki basi sisi ndio tunakuwa wanafiki. Unafiki ndio kula yao.
 
Balile ni elimu duni! Ana uwezo duni wa uchambuzi wa mambo lakini anaamini anajua sana.
Tangu alipoandika ripoti ya Makonda kwa kutumwa na Nape, nikaona ni kichwa kibovu. He works like any Kapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…