ukinywa usisahau kutuletea mrejesho [emoji23]Hii balimi inapaishwa sana cha ajabu Sijawahi kuinywa,...... Nadhani mwisho wa kusimuliwa ni leo jioni.
Mkuu wewe ni hatari weka mbali na watoto...........Nitamu ukimix na konyagi
Dah! nimebanwa hata sijaweza kutoka,..........but hii weekend lazima niifanyie mambo.ukinywa usisahau kutuletea mrejesho [emoji23]
mm nipo nasubili mrejesho tuDah! nimebanwa hata sijaweza kutoka,..........but hii weekend lazima niifanyie mambo.
Kwani hujawahi kuinywa?mm nipo nasubili mrejesho tu
sijawahi na sitawahiKwani hujawahi kuinywa?
Hii style yenu nimeikubali......it's working subliminally.Balimi raha sana ukipiga NNE na kuendelea we bingwa,
Karibuni tunauza tuwauzie bia jumla jumla.
MEATU-Simiyu
Usiseme sitawahi maana hakuna ajuaye kesho.sijawahi na sitawahi
Aaah mkuu IPI tenaHii style yenu nimeikubali......it's working subliminally.
Picha tafadhali....kwasasa FASTJET ndio habar ya twnHivi mnamjua mdudu anayeitwa LONDON DRY???? kwa wale wa moshi na arusha
usisahau kutupa mrejesho mkuu, huku ukisindikiza na tu picha tu wili tu tatuHii balimi inapaishwa sana cha ajabu Sijawahi kuinywa,...... Nadhani mwisho wa kusimuliwa ni leo jioni.