BalimiI/kirkuu a.k.a fastjet bei ndogo majibu fastaa

BalimiI/kirkuu a.k.a fastjet bei ndogo majibu fastaa

Nitamu ukimix na konyagi
dc4fa8c520613eac8c0012ba2c36de1f.jpg
Mkuu wewe ni hatari weka mbali na watoto...........
 
Hivi mnamjua mdudu anayeitwa LONDON DRY???? kwa wale wa moshi na arusha
 
nlikuwa mwanza mwaka juzi nlikuta wanaziita bangi mbichi kama walijua bangi itakuwa mwisho 2017 wakazibatiza hizi kuwa mbadala
 
BALIMI EXTRA LAGER

BIA YANGU KANDA YENUUU
 
Hivi mnamjua mdudu anayeitwa LONDON DRY???? kwa wale wa moshi na arusha
Picha tafadhali....kwasasa FASTJET ndio habar ya twn

Sio kwamba hakuna bia babe zaid yake n kwamba pia inaendana na wakat

Bei yake cheap
Kesho yake unaamka pouwa zaid
 
Sijawahi kunywa Pombe, na sina mpango wowote wa kuja kuonja Pombe maishani mwangu.

Pombe ilaaniwe milele.
 
Back
Top Bottom