Ball boys wa Uarabuni

Ball boys wa Uarabuni

Mm nashangaa kwann mpaka sasa sijasikia timu yyte kutoka uarabuni ikipigwa faini ama uwanja kufungiwa maana wanafanya Fujo za wazi kabisa mbona Yanga juzi kati tu hapa vijifataki tuwili tukasikia faini kwann sio uarabuni?
Unafatilia mpira kweli? Si juzi tu kuna timu huko imecheza bila mashabiki baada ya kupigwa ban na caf
 
Tukisema easy way tafsiri yake bado tunarudisha heshima kwa yanga, yaani tunaamini yanga hakukutana na wakubwa wenzie wakumpa challenge, tunaamini yanga ni bora sana kuliko aliocheza nao

Ukitaka tusiseme hivi tafsiri yake yanga uwezo wake na ubora wake si kama top wa south (mamelody, kaizer chief) Bali ni Sawa na mshuka daraja marumo, ukitaka tusiseme easy way tafsiri yake yanga hana uwezo wa kucheza na ahly, wydad,raja,kaizer,mamelody na wengineo ndio maana akaenda kucheza na wa level yake rivers united

Kwa mashabiki wote wa soka nchini wote kwa peak aliyoifikia yanga msimu huu tulitamani kuona akicheza na mamelody, ahly, kaizer,wydad,na raja that's why we claim that it was an easy pass na hatutabadili misimamo yetu kama wapenzi wa soka(nimejiondoa kwenye usimba) na huu kwangu Mimi ndio ukweli
Hii comment yako ipigwe lamination ikabandikwe pale jangwani umemaliza kila kitu, I appreciate your critical thinking.
 
Back
Top Bottom