...pia ifahamike kuwa kuna uwezekano mkubwa kwenye kamati ya ushindi ya jk...jk binafsi hakuwa akijua vyanzo vyote vya mapato.jk binafsi hana interest sana na pesa zaidi ya hobby zake binafsi.....hiyo iliacha mwanya kwa wapambe na kina mvi na rostam kutumia mwanya huu kujipatia pesa nyingi sana...zaidi ya bot,pesqa pia zilitoka makampuni ya madini na wawekezaji wakuu,wafanyabiashara wa ndani,nchi rafiki allied to jk[ie iran,drc ets]..ni pesa nyingi kuliko mnavyoweza kufikiria zilipatikana...
kuna uwezekano mkubwa pesa hizo wanalenga kujinufaisha nazo kibiashara...na pia as KING MAKERS watazitumia kufikia malengo ya kisiasa ya siku zijazo.....
kuna uwezekano mkubwa kadiri jk anavyogundua uchafu huu anazidi kuchanganyikiwa na marafiki zake asijue la kufanya......tukumbuke usia wa mwalimu kuwa tusije pata rais anayewekwa madarakani na majangili...anaweza kuwa mwema ..lakini awe na uwezo wa kuwakemea...je jk ana huo uwezo wa kuwakatalia hawa mafisadi..kama hawezi na yeye atajeuka fisadi!!???