But also we are reading that, Gavana ni mtumwaji tu na wanaSiasa kutekeleza mambo;
Mkuu IO,
Heshima mbele mkuu, sijakuona siku nyingi ila ninakumbuka mara ya mwisho ulikuwa unampa big support Tafiti Then Jadili (TTJ) sikuji aliishia wapi,
anyways, nafikiri kama unafuatilia kwa makini hiii mijadala tumeanza na Mama Meghji, baada tu ya kugundua kuwa alihusika na ku-support barua ya ulaji ilioandikwa na Balali, na since then tumekuwa tukilia na hawa wawili unajua ni kwa nini? Ni kwa sababu so far tuna a hard evidence kuwa walishiriki kwenye ufisadi, including Mgonja, na Mramba, wote tumekuwa tukiwapiga mawe sawa sawa,
Mawe ya Balali, (sitaki kuamini kuwa wewe ni Jasusi), ni kwamba Balali amejiongezea mzigo mzito kuhusiana na tuhuma dhidi yake kwa mambo aliyoyafanya mwishoni kuaniza kusaifiri nje, na mpaka kufikia kuandika barua ya kujiuzulu akiwa nje ya nchi, wenziwe owte wako bongo hawajakimbia, yeye peke yake ndiye aliyekimbia, mara anaumwa, hataki kuongea na mtu, sasa imekuwa hadithi nyingi mno kuhusiana na yeye tu huku wnegine hawasemwi, ni kwa sababu alijitafutia mwenyewe hiii attention, sasa nyinyi apologists wake msimlaumu mtu ila mlaumuni Balali mwenyewe kwa kujiletea unwanted attention ambayo inafikia mahalai hata wengine waliohusika hawatajwi ila yeye tu, ndio maana tunasema arudi nyumbani ajibu tuhuma dhidi yake ambazo tayari zipo, sasa kwenye kujibu ndio atatuambia nani alimtuma na nani hakumtuma, uamuzi wa kama anayosema ni kweli au sio kweli ni wa kwetu wananchi sio nyinyi mnaomtetea,
Naifikiri unaijua bongo vyema na kwamba msema kweli ni mpenzi wa Mungu, wananchi tutaamua kulingana na tunayosikia kutoka kwa viongozi wetu waliohusika, lakini tunahitaji kusikia Balali's side now, maana wanamtuhumu wameshasema, until atakapoongea yaani Balali, sisi wananchi tutaendelea kumkoma nyani based on evidence at hand ambayo tunayo tayari, inayoonyesha kuwa Balali, alichota na kumuomba Mama Meghji, amsaidie na uchunguzi, nothing personal against Balali, wale wote mnaomtetea naomba mtuelewe kwamba sisi ni wananchi acting on information already at hand!
Hatuwezi kua-act on information ambayo hatuna lakini mnayo nyinyi tu mnaomtetea tu, hapana tutaendelea kumkoma nyani tu mpaka giladi!