Ballon d'Or, 07/12/2017: Cristiano Ronaldo ambwaga Lionel Messi na kushida tuzo yake ya tano! Sasa walingana idadi

Ballon d'Or, 07/12/2017: Cristiano Ronaldo ambwaga Lionel Messi na kushida tuzo yake ya tano! Sasa walingana idadi

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
2,046
Reaction score
3,971
ballon.jpg

Balon d'Or ni tuzo inayotolewa kwa mchezaji bora wa ukanda wa Ulaya, lakini ni tuzo ambayo unachukuliwa kama mafanikio makubwa kwa mchezaji mwenyewe. Utoaji wa tuzo hiyo inatolewa usiku wa leo huko Paris Ufaransa.

Mchezaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ndio anayeonekana kuchukua nafasi kubwa kushinda tuzo hiyo kwa mara ya tano, na kulingana na mpinzani wake wa uwanjani, Lionel Messi, baada ya kuwa na msimu mzuri uliopita.

Kuna wachezaji saba kutoka ligi ya Uingereza ambao wanawania kinyang'anyiro hicho pamoja na Harry Kane, Eden Hazard and Kevin De Bruyne

Muda wa kuonyeshwa: Saa tatu na dk 45 (2145 hrs), muda wa kitanzania. Supersport 3

carrier stat.png

Cristiano Ronaldo na Lionel Messi stats
=================

Updates;

ronaldo.jpg

Cristiano Ronaldo akipanda ndege binafsi kuelekea Paris kwenye sherehe za tuzo hizo

Nafasi za 30 -21 za Ballon d'Or hizi hapa
29: Dries Mertens - (Belgium, Napoli) and Philippe Coutinho - (Brazil, Liverpool)
28: Edin Dzeko - (Bosnia & Herzegovina, AS Roma)
27: Mats Hummels - (Germany, Bayern Munich)
26: Jan Oblak - (Slovenian, Atletico de Madrid)
25: Karim Benzema - (France, Real Madrid)
24: Radamel Falcao - (Colombia, Monaco)
23: Sadio Mane - (Senegal, Liverpool)
21: Leonardo Bonucci - (Italy, AC Milan) and Pierre-Emerick Aubameyang - (Gabon, Borrusia Dortmund)

Nafasi za 20 - 11 za Ballon d'Or hizi hapa
20: David De Gea - (Spain, Manchester United)
19: Eden Hazard - (Belgium, Chelsea)
18: Antoine Griezmann - (France, Atletico de Madrid)
17: Toni Kroos - (Germany, Real Madrid)
16: Marcelo - (Brazil, Real Madrid)
15: Paulo Dybala - (Argentina, Juventus)
14: Kevin De Bruyne - (Belgium, Manchester City)
13: Luis Suarez - (Uruguay, Barcelona)
12: Isco - (Spain, Real Madrid)
11: Edson Cavani - (Uruguay, PSG)

Majina ya wachezaji kumi (10) bora bila kuwa kwenye mtiririko wowote ni;

Gianluigi Buffon (Juventus); Harry Kane (Tottenham); N’Golo Kante (Chelsea); Robert Lewandowski (Bayern Munich); Kylian Mbappe (PSG); Lionel Messi (Barcelona); Luka Modric (Real Madrid); Neymar (PSG); Sergio Ramos (Real Madrid); Cristiano Ronaldo (Real Madrid).

Kwa kufuata mtiririko sasa, nafasi ni hizi;
10: Harry Kane - (England, Tottenham Hotspurs)
09: Robert Lewandowski - (Poland, Bayern Munich)
08: N'Golo Kante - (France, Chelsea)
07: Kylian Mbappe - (France, PSG)
06: Sergio Ramos - (Spain, Real Madrid)
05: Luka Modric - (Croatia, Real Madrid)
04: Gianluigi "Gigi" Buffon - (Italy, Juventus)
03: Neymar - (Brazil, PSG)
02: Lionel Messi - (Argentina, Barcelona)

Mshindi wa Ballon d'Or wa mwaka 2017 - Cristiano Ronaldo
IMG_20171208_083706.jpg

 
Upuuzi mtupu. cavani katia goli 49 msimu uliopita, kapitwa na messi tu. Na anaongoza kwa kufunga magoli mengi ndani ya mwaka huu ulaya nzima. Alichaguliwa pia kuwa mchezaji bora wa ligi ya France mwaka huu. Then inakuaje Ati mbappe, Neymar, Harry Kane wawe juu yake, Kwa misingi ipi? Individual na hata kwa Tim achievement.

Na itakuavipi Neymar awe ndani ya top 3 kwa achivement gani? hajashinda ligi wala Champion league. msimu mzima la liga kafunga magoli 13 tu. mpaka na wachezaji wa vitimuvidogovidogo wamempita kwa magoli. Kwanini awe ahead of Kroos, Marcelo, Cavani, Lewandoski, Dybala, Hazard, Kante, Buffon, Mudric, Suarez, Bernad Silva, Aubameyang, Benzema, Bonucci, Ramos, Isco, Mertens ?

Na Bernad Silva alikua ndo best player msimu ulomaliza kwa monaco. Sasa inakuaje ashindwe kukueomo ndani ya top 30?? kibaya zaidi ati mbappe anashika nafasi ya 7 wakati best performer huyomo ata kwenye top 30.
 
Upuuzi mtupu. cavani katia goli 49 msimu uliopita, kapitwa na messi tu. Na anaongoza kwa kufunga magoli mengi ndani ya mwaka huu ulaya nzima. Alichaguliwa pia kuwa mchezaji bora wa ligi ya France mwaka huu. Then inakuaje Ati mbappe, Neymar, Harry Kane wawe juu yake, Kwa misingi ipi? Individual na hata kwa Tim achievement.

Na itakuavipi Neymar awe ndani ya top 3 kwa achivement gani? hajashinda ligi wala Champion league. msimu mzima la liga kafunga magoli 13 tu. mpaka na wachezaji wa vitimuvidogovidogo wamempita kwa magoli. Kwanini awe ahead of Kroos, Marcelo, Cavani, Lewandoski, Dybala, Hazard, Kante, Buffon, Mudric, Suarez, Bernad Silva, Aubameyang, Benzema, Bonucci, Ramos, Isco, Mertens ?

Na Bernad Silva alikua ndo best player msimu ulomaliza kwa monaco. Sasa inakuaje ashindwe kukueomo ndani ya top 30?? kibaya zaidi ati mbappe anashika nafasi ya 7 wakati best performer huyomo ata kwenye top 30.
Mkuu umeelezea vema sana sana Mpira wa Ulaya sasa hivi ni biashara zaidi...watu wameshalipia hela ili Christiano ashinde awe pamoja na Messi,halafu christiano astaafu aende ASIA MESSI Aendelee kucheza hata kama messi akichukua ila achukua wakati Christiano hayupo...ndo maana Roberty lewandoski mwaka huu alisema haya mashindano ya mchezaji bora ya Ulaya huwa hayawazii kabisa yana upendeleo tuu... umeeleza kuhusu edson Cavan na wengineo...
 
Mkuu umeelezea vema sana sana Mpira wa Ulaya sasa hivi ni biashara zaidi...watu wameshalipia hela ili Christiano ashinde awe pamoja na Messi,halafu christiano astaafu aende ASIA MESSI Aendelee kucheza hata kama messi akichukua ila achukua wakati Christiano hayupo...ndo maana Roberty lewandoski mwaka huu alisema haya mashindano ya mchezaji bora ya Ulaya huwa hayawazii kabisa yana upendeleo tuu... umeeleza kuhusu edson Cavan na wengineo...
Ahaaa!!! Mmenifanya nifike "Ahaaa stage".... Kumbe..
 
Back
Top Bottom