Ballon d'Or, 07/12/2017: Cristiano Ronaldo ambwaga Lionel Messi na kushida tuzo yake ya tano! Sasa walingana idadi

Ballon d'Or, 07/12/2017: Cristiano Ronaldo ambwaga Lionel Messi na kushida tuzo yake ya tano! Sasa walingana idadi

Leo Rais wa Madrid anamwambie Neymar njoo Real ukitaka ushinde hapo utaelewa siasa za mpira. Mimi natizama team bora wachezaji bora watoke Tennis huko ni juhudi binafsi. Team ni 11 players.
 
Leo Rais wa Madrid anamwambie Neymar njoo Real ukitaka ushinde hapo utaelewa siasa za mpira. Mimi natizama team bora wachezaji bora watoke Tennis huko ni juhudi binafsi. Team ni 11 players.
Haya hamkuyaona kipindi Andunje anachukua mfululizo?
 
Back
Top Bottom