Messi ataweka rekod ingine tena...
CR 7 =(mss + Nymr)
Nijuavyo hawachaguliwi wala kupangiwa na FIFA ni waandishi wa habari wa michezo duniani wenye kupiga kura, kama sijakosea.
...Ronaldo hakutakiwa kuwepo kwenye top three, Suarez anastahili, FIFA waache kufanya vitu kwa mazoea..
...yes; ni manahodha wa timu za taifa ndio wanaopiga kura sio waandishi wa michezo, japo nao wanafanya mambo kwa mazoea.Nao pia wana ushabiki, coz for more than five yearz,hawa jamaa wamekuwa wakipokezana tu hiyo tuzo! so wanaona bora wote waendelee kuwepo.
dah kumbe na huku upo,hongera mamy!.huwa napenda mwanamke anaependa siasa na michezo! Nikipata mke wa namna hi nitafurahi sana.
hii kitu mwaka huu ni ya messi kwa upande wa c.ronaldo hakupaswa hata top 3 ila fifa wameogopa maneno ya watu kuja sema uefalona ila kiukweli 1. Messi 2 neymar . 3 suarez
Sijakutana na mwanamke asiependa siasa na michezo. Kila mwanamke ni mwanasiasa na mwanamichezo mzuri kuliko unavyofikiria.
your fanny!
I guess you have your fanny too and so does your mom.
Nijuavyo hawachaguliwi wala kupangiwa na FIFA ni waandishi wa habari wa michezo duniani wenye kupiga kura, kama sijakosea.
dah kumbe na huku upo,hongera mamy!.huwa napenda mwanamke anaependa siasa na michezo! Nikipata mke wa namna hi nitafurahi sana.
Wamepita wachezaji 23 wewe hao wanne umewatoa wapi au ni chaguo lako mtoa mada..?