42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Oyaaaa tutajie timu yako ya zamani basi. Siyo dhambi.City tukichukua CL ,epl na fa ....basi kDB anachukua
Au umezaliwa mwaka gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaaaa tutajie timu yako ya zamani basi. Siyo dhambi.City tukichukua CL ,epl na fa ....basi kDB anachukua
Oyaaaa tutajie timu yako ya zamani basi. Siyo dhambi.
Au umezaliwa mwaka gani?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nimezaliwa 2022
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Lazima uone aibu....
Mashabiki wa man city ni Arsenal na Liverpool unless mtu awe mtoto.iko wapi hio aibu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji706]Yaani wazungu wawape waislam hyo tuzo kweli ya dunia huyajui ww ngoja uone watakavyo badili gia angani za vigezo wakiona benzema au salah anakaribia kuchukua huo ufungaji bora tu yule son anaweza akapewa penalty mpaka akamfikia Salah .
Mane Ni Mtu Sana Uwanjani.Mimi pia nitafurahia hili likitokea. Mane amekuwa mchezaji mzuri kwa miaka mingi.
Jamaa ana msaada hadi timu ya taifa tofauti na Salah.Mane Ni Mtu Sana Uwanjani.
Hizi ni hisia zako tu.Yaani wazungu wawape waislam hyo tuzo kweli ya dunia huyajui ww ngoja uone watakavyo badili gia angani za vigezo wakiona benzema au salah anakaribia kuchukua huo ufungaji bora tu yule son anaweza akapewa penalty mpaka akamfikia Salah .
Huyu ndio nampenda na kumkubali. Fighter wa kudumu.Ikitokea Liverpool Ameshinda Epl Na Uefa Basi Sadio Mane Kwangu Atafaa.
Huyu ana matatizo yake.Umeanza kuleta udini usio na sababu.Vingine leta ushahidi wa huu uzwazwa wako.
Acha masihara mkuu. Mambo ya dini yaweke pembeni.Yaani wazungu wawape waislam hyo tuzo kweli ya dunia huyajui ww ngoja uone watakavyo badili gia angani za vigezo wakiona benzema au salah anakaribia kuchukua huo ufungaji bora tu yule son anaweza akapewa penalty mpaka akamfikia Salah .
Kabisa MkuuHuyu ndio nampenda na kumkubali. Fighter wa kudumu.
Hata baloteli..Maguire naye anaitaka