Ballon D’or ni kati ya Alvarez na Martineź

Treble kwa haaland na mfungaji bora wa EPl,FA akikosq balon d'or akaoge maji ya chumvi
Haaland kupata Balon d'or ngumu ,Why? Msimu huu Kigezo Cha kwanza kupewa Balon d'or ni WORLD CUP( Hakuna trophy Kubwa Duniani kuliko hii) ,performance ya mchezaji kwenye WC ina influence kwa kiasi kikubwa kupata WC .Mfano 2018 Modric alipewa Balon d'or licha ya kuwa Messi alikuwa Mfungaji bora Ulaya (European Golden boot).Kuwa Best player World cup ndio iliyombeba Modric.

Haaland amefunga magoli mengi msimu huu kwenye league. Hata UEFA ameongoza magoli lakini haja influence kwa kiasi kikubwa performance ya Man City UEFA hasa kwenye BIG MATCHES ndo maana BEST PLAYER OF THE SEASON UEFA amepewa RODRI.

Benzema mwaka jana aliongoza magoli UEFA na ndo alikuwa BEST PLAYER OF THE SEASON ndio maana ikawa easy kwake kipewa Balon d'or.
 

Bila debryune Halaand ana utofauti na kibu deniss
 
Kila siku nawaambia hiyo tuzo haipo kama mnavyotaka mnaleta ubishi wenu. Ni aidha haaland au messi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…