Balo la viatu vya Mtumba

Mimi pia ni mmojawapo,nasubiri taarifa yako mkuu
 
Nimekuwa sana mkuu.Mimi kuna wakati nilienda Karume kutafuta bag la mtumba ambalo naweza kubebea laptop.Nikaingia ndani ndani kule,nikafika katika frame ya mzee moja hivi ana bag kali ambalo kiukweli liliukosha moyo wangu.Mzee akanipiga bei mbaya kuwa anauza 25,000/= duuuh nikaishiwa pozi.Ila nikakumbuka kuwa hawa machinga mara nyingi huwa wajanja,atakuwa ananitega.Nikakaza mzee,mwisho wa siku nikachomoa kwa 13,000/= nikamnunulia na kikombe kimoja cha kahawa cha 200.Baada ya pale nilinasa point moja aliposema kwamba,huwa wanadamka mapema wanaenda ku-point then wanarudi kupanga karume.kwa nilivyoelewa mimi,inaonekana huwa wana-point kwa bei rahisi sana.Changamoto niliyonayo sasa nilikujuwa wapi huwa wanaenda ku-point maana inaonekana ni maeneo yale yale ya Kariakoo.Mimi nikijuwa tu naanza biashara.
 
Kati ya Uganda na Kenya kupi kuna viatu vizuri na vingi zaidi,,,mbona naona wabongo wengi pia wakienda kununua viatu Nairobi?
 
Kati ya Uganda na Kenya kupi kuna viatu vizuri na vingi zaidi,,,mbona naona wabongo wengi pia wakienda kununua viatu Nairobi?
Uganda panasifika sana kwa nguo grade nzur za mtumba but viatu ata mbeya vipo vzur mno kuna wadau weng tu ambao bado hawajawa na connection dar wanachukua sana mbeya alaf unakuta wanapenga mwenge ata jamaa wang amefanya sana hii kitu.
 
Wannapoint hapo hapo karume usiku sana kuanzia saa 10 ikifika asubh wanapanga bei za kupiga na ilala wanapoint nguo alfajir pia ikifika asubh wanapanga bei za kawaida
 
Vya Mbeya vinatoka Malawi nadhani! Ila kwa mtumba wao ni mkali sijapata ona yani! Viatu unakuta havijavaliwa vikaisha yani soli mpya raba mpya ni za kufua tu. Zile ukija bongo ukauza 20/20 unapiga hela kishenzi!

Sema kwa hali ya uchumi ni aheri viatu utarget ambavyo havizidi 15K kwa sasa
 
Wannapoint hapo hapo karume usiku sana kuanzia saa 10 ikifika asubh wanapanga bei za kupiga na ilala wanapoint nguo alfajir pia ikifika asubh wanapanga bei za kawaida
Ukienda hata saa 12 ama saa 1 bado unapata kwa bei poa tu,mbaya zaidi ikifika saa 3 ndipo madalali wa kuachiwa kazi ndio muda wao wakupiga
 
Wannapoint hapo hapo karume usiku sana kuanzia saa 10 ikifika asubh wanapanga bei za kupiga na ilala wanapoint nguo alfajir pia ikifika asubh wanapanga bei za kawaida
I get you Lucy.Bilashaka now nimeelewa vema.kumbe hakuna kulala mishe hizo,maana kwa usafiri wa Dar dooh[emoji42][emoji42]
 
Wannapoint hapo hapo karume usiku sana kuanzia saa 10 ikifika asubh wanapanga bei za kupiga na ilala wanapoint nguo alfajir pia ikifika asubh wanapanga bei za kawaida
Huwa unafanya hii biashara nahitaj kujua kitu hapa
 
Uko so deep CONTROLA ๐Ÿ‘Š๐Ÿฟ๐Ÿ‘Š๐Ÿฟ๐Ÿ‘Š๐Ÿฟ๐Ÿ‘Š๐Ÿฟ
 
Mkuu ulipata taarifa
 
viatu vya mbeya na ata mitumba ya nguo ya mbeya zote zinatoka dar.
Ila kinachofanyika wafanyabiashara weng wa mbeya wenye mitaji mikubwa wanasgiza direct China alaf haifunguliwi inaenda kufunguliwa mbeya so ujanja ujanja haiwi mkubwa sana ndio maana bado unakutana na vitu vizur kwa bei ndogo.

Dar balo linafunguliwa ikifika alaf muuzaji nae anachambua zake kwa washkaji wake ndio uje wewe lazma ukutane na lonya lonya. ila ata mbeya wanachambua kwanza ila haipiti kwenye mikono ya wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ