Balo la viatu vya Mtumba

Aisee Mbeya viatu vikali sana mzee af bei kitonga sana
 
Kama unaanza biashara, huyo jamaa wa Mwanza amekupa ushauri mzuri kwa kuwa atakuuzia viatu ambavyo ni chaguo lako.

Robota ni kama kuingiza mkono gizani na unakuwa hujui kile utakachotoka nacho. Na niliwahi kusikia ili biashara isisumbue ni heri kununua robota zaidi ya mbili.

Kwa maana ya kwamba marobota yaweze kubebana, ikiwa kati yake ikiwa na viatu vibaya vingi.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…