Uchaguzi 2020 Balozi Adadi Rajabu tafuta chama (CHADEMA au ACT Wazalendo) uendelee na ubunge wako

Uchaguzi 2020 Balozi Adadi Rajabu tafuta chama (CHADEMA au ACT Wazalendo) uendelee na ubunge wako

Huyo aliyewekwa ashachukua form na kuijaza, huoni hapo ni kujichanganya?
Mbona ameshakujibu? Ina maana umeshindwa kuelewa anachomaanisha? Kwamba pale Muheza pamoja na CDM kuweka mgombea lakini si mgombea wala Chadema wenye nguvu au ushawishi na hivyo Chadema wanahitaji mtu mwenye vyote, nguvu na ushawishi.
 
Na hao kina Adadi Rajab wamo katika mfumo huu uliokamdamiza haki. Wametumiwa sana na serikali na CCM kukandamiza haki. Wakifikiri watakuwa juu tu kila siku.

Na sasa imekula kwao.

The chicken coming home to roost.

Mkuki mtamu kwa nguruwe. Kwa binadamu mchungu.
Hakika wakati wanapokuwa ndani huko wanaona kuwa wataendelea kuwa huko huko pamoja bila shida yoyote.

Hawa wanasiasa wa Tanzania hasa vijana wangekuwa ni watu wenye weledi na akili sawa sawa wangejifunza kwenye uchaguzi wa 2015 hali iliyotokea kwa kina Lowassa na wenzake wangebadilika na kuanza kupigania mifumo inayotoa haki.

Wangekuwa wamejenga mifumo inayotenda haki hata huu uonevu wa wazi wazi unafanywa na Magufuli wasingeweza kuonewa hovyohovyo namna hii.

Kwa sasa wanalazimika kumnyenyekea mwenyekiti hata kama kawanyima haki zao kwa makusudi taifa hili sijui lilirogwa na nani.
 
Akienda Huko Atakuwa Kama Ng'ombe Aliyekatwa Mkia Machungani Akirudi Zizini Wenzake Watajua!!!!
😀😁😂😂
 
Mbona ameshakujibu? Ina maana umeshindwa kuelewa anachomaanisha? Kwamba pale Muheza pamoja na CDM kuweka mgombea lakini si mgombea wala Chadema wenye nguvu au ushawishi na hivyo Chadema wanahitaji mtu mwenye vyote, nguvu na ushawishi.
Kwa hiyo zile story za CCM imechokwa ni propaganda.
 
Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT Wazalendo ujinyakulie ubunge kiulaini!
Kwanini asijiajiri wakati mtaji anao kile kiinua mgongo cha ubunge? Hivi watanzania mna nini? Kwanini wenye nacho wasitoe fursa kwa wengine?

Tena inatakiwa ubunge uwe na ukomo wa miaka 5 tu, hakuna kugombea tena. Wachukue hicho kiinua mgongo chao na mikopo wanayopewa bila riba, etc, wakaanzishe biashara wajiajiri na kuajiri wengine.
 
Simdharau, ushawishi wake hauingii kwa Adadi kama kutaka kiti kiende upinzani asubuhi na mapema! Muheza na Adad ni kama wewe na Jiwe. kama usivyoambiwa chochote kuhusu Jiwe na Muheza hivyo hivyo kwa Adad
Hivi anaweza kuwa na ushawishi kuzidi aliokuwanao Lowassa?

Haya mchukueni muone kitakachotokea.
 
Kwa hiyo zile story za CCM imechokwa ni propaganda.
Hata uchokwe vipi lazima utakua na Ngome/die harders au nguvu iliyotumika awali dhidi yako lakini kadili muda uendavyo nguvu hiyo inapunguzwa sababu ya kulega kwa uimara wako.
 
Sijui ACT Muheza ikoje, ila CDM I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
Labda muheza ingine, sio nayoijua mm,
 
Nafasi ya pili... margin ya kura ilikuwa kubwa... Adad 567 Vs 260? (kitu kama hicho). Wakati Lisu alipopigwa risasi, alikemea sana bungeni kuonyesha kutopenda kupigwa risasi na ripoti yake haikufanyiwa kazi baada ya kunyofoa. Jiwe hakupenda!
Hili zee lina visasi aiseee! Sijapata kuona!
 
Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT Wazalendo ujinyakulie ubunge kiulaini!
Huyu mwamba aliwaki kuwa OC CID somewhere ndani ya jeshi la Polisi?
 
Back
Top Bottom