Balozi Ali Karume: Siwezi kuvuliwa uanachama CCM na mdandia reli

anabweka bweka tu inafahamiki bayana Balozi Ali si kiongozi mwandamizi wa CCM lakini si mwanachama wa CCM...

Hayo mayowe anayopiga huenda ni kuuarifu na kuvutia upinzan kwaajili ya mazungumzo na usaji wake kwa maisha yake mapya ya siasa baada ya upweke wenye mgandamizo, mbinyo na msongo wa mawazo ya fedheha sana kwa mustakabali wa siasa za Tanzania 🐒
 
Mbona unagwaya kukisema alichokisema au unataka usaidiwe, ninakusaidia kwa sababu linaukweli ndani yake, "CCM haijawahi kushinda uchaguzi mkuu Zanzibar", mwisho wa kumnukuu.
 
Ni kweli ila sio kwa mwenyekiti hasa anapokuwa na cheo cha urais.
 
Ubaya Ubwela tu...😀😃😄😁😆😅😂🤣
 
Mkuu tuna Imani na ww Jimbo la kigamboni njoo utie nia ...kura yangu uhakika
 
Labda kwa watu wasiojua mambo ya tawala za vyama bora duniani...

Ukimsema kiongozi wako vibaya kwa kumwita ni WAKUJA....unategemea nn?!![emoji44]
Hivi kwanini ccm ukimkosoa kiongozi wako lazima ukutane na mambo kama haya yaliyo mkuta Balozi Ali Karume?

Ccm ukitofautiana nao huwezi kubaki salama either uitwe kwenye vikao au uminywe kende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…