Balozi Ali Karume: Siwezi kuvuliwa uanachama CCM na mdandia reli

hahahhaha ninapowapendea wazanzibar ni hapa tu!ujasiri wa hali ya juu sanaa
 
Wadandia Treni sio reli !
Tena Naona wanataka kudandia Treni kwa mbele 😂😱
Ngoja Tusubiri tuone 😅
 
Ngoja Tusubiri tuone !
 
Huyu vipi atamwitaje mwenzie mdandia reli (Tabora/Dodoma) wakati yeye baba yake ni Mnyasa wa Malawi mchnganyiko na Mmanyema kisha yeye akachanganywa na Mhindi?
 
Hiyu naye anakera sasa, kwani CCM ni Mzee Karume au Mama Karume? ondoka huko tafuta tulizo la moyo wako Balozi Ali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…