raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
CV imeshibaMbunge wa Jamhuri, Naibu waziri wa Africa mashariki, Waziri, Balozi Ubelgiji na Uholanzi π€
R.i.p
Ana undugu na Hsris Kamala VP wa USA
Halafu kuna mtu nipo third floor wala sijawahi kuwa hata kiranja.....πCV imeshiba
Ni kushukuru tu kwa yote maana hakuna namnaHalafu kuna mtu nipo third floor wala sijawahi kuwa hata kiranja.....π
Historia ya marehemu inakua "marehemu alizaliwa akahangaika hangaika akafa"Ni kushukuru tu kwa yote maana hakuna namna
Nayo inakuwa na upekee wa aina yake πHistoria ya marehemu inakua "marehemu alizaliwa akahangaika hangaika akafa"
Marehemu hakua na mambo mengi sio πNayo inakuwa na upekee wa aina yake π
Hakuangaika na ya dunia πMarehemu hakua na mambo mengi sio π
Miaka 56 tu? Shida nini? Cheo, ukwasi alikuwanao.Kazaliwa 1968?
π€£π€£π€£. Hujaeleweka! Umesema wana uhusiano au unauliza kama wana uhusiano?Ana undugu na Hsris Kamala VP wa USA
Historia haimfufui mtu, ni mbwembwe tuHistoria ya marehemu inakua "marehemu alizaliwa akahangaika hangaika akafa"