raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
CV imeshibaMbunge wa Jamhuri, Naibu waziri wa Africa mashariki, Waziri, Balozi Ubelgiji na Uholanzi 🤔
R.i.p
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CV imeshibaMbunge wa Jamhuri, Naibu waziri wa Africa mashariki, Waziri, Balozi Ubelgiji na Uholanzi 🤔
R.i.p
Ana undugu na Hsris Kamala VP wa USA
Halafu kuna mtu nipo third floor wala sijawahi kuwa hata kiranja.....🙄CV imeshiba
Ni kushukuru tu kwa yote maana hakuna namnaHalafu kuna mtu nipo third floor wala sijawahi kuwa hata kiranja.....🙄
Historia ya marehemu inakua "marehemu alizaliwa akahangaika hangaika akafa"Ni kushukuru tu kwa yote maana hakuna namna
Nayo inakuwa na upekee wa aina yake 😀Historia ya marehemu inakua "marehemu alizaliwa akahangaika hangaika akafa"
Marehemu hakua na mambo mengi sio 😃Nayo inakuwa na upekee wa aina yake 😀
Hakuangaika na ya dunia 😀Marehemu hakua na mambo mengi sio 😃
Miaka 56 tu? Shida nini? Cheo, ukwasi alikuwanao.Kazaliwa 1968?
🤣🤣🤣. Hujaeleweka! Umesema wana uhusiano au unauliza kama wana uhusiano?Ana undugu na Hsris Kamala VP wa USA
Historia haimfufui mtu, ni mbwembwe tuHistoria ya marehemu inakua "marehemu alizaliwa akahangaika hangaika akafa"