TANZIA Balozi Dkt. Deodorus Kamala afariki dunia

Maaxece ni mtoto wa juzi.nimemaliza std 7 late 70's...niamkie tafadhari
Watashindwa kukuelewa.

Waambie kwamba ulishapiga kura za kuchagua viongozi akiwemo Rais kwenye awamu ya kwanza, awamu ya pili, awamu ya tatu, awamu ya nne, awamu ya tano ila maajabu imeingia AWAMU YA SITA kulikuwa hakuna cha kupiga kura!
 
Wakati wa bunge la 2015 - 2020 nilikuwa nikimuona kupitia media alikuwa amebadilika mwili amekuwa kama mgonjwa na ameezeeka sana. Ilikuwa inaonesha hayupo Sawa sawa kiafya.
 
Ana uhusiano gani na Kamala Harris
 
Ngoja akusikie mwanae!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…