Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Ingekuwa nchi zinazoheshimu taratibu na sheria, Serikali hii leo labda Rais tumsamehe, hatua zingechukuliwa kuwawajibisha baadhi ya watu.
Sasa hilo linashindikana kwa sababu Rais mwenyewe amesaini. Katika miaka yangu 15 Bungeni sijawahi kuona Rais akitoa kitu kinachofanana na Power of Attorney katika jambo kama hili, kwa sababu sasa limeharibika nani atamwajibisha nani.
Sasa tatizo lao kutotumia utaratibu, nitashangaa sana kama Feleshi alikuwa consulted na akamwambia Rais asaini hiyo power of attorney, halafu Waziri anaposaini sina hakika kama alimconsult.
Mimi kichwani bado najiuliza, kwanini ilimchukua wiki moja Feleshi kutokea kujibu hoja zote za Serikali za kisheria, na alipojibu ni sawa na hoja ya mtoto wa darasa la saba.
Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023
Pia soma:
Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna mkataba wowote ulioingiwa
Sasa hilo linashindikana kwa sababu Rais mwenyewe amesaini. Katika miaka yangu 15 Bungeni sijawahi kuona Rais akitoa kitu kinachofanana na Power of Attorney katika jambo kama hili, kwa sababu sasa limeharibika nani atamwajibisha nani.
Sasa tatizo lao kutotumia utaratibu, nitashangaa sana kama Feleshi alikuwa consulted na akamwambia Rais asaini hiyo power of attorney, halafu Waziri anaposaini sina hakika kama alimconsult.
Mimi kichwani bado najiuliza, kwanini ilimchukua wiki moja Feleshi kutokea kujibu hoja zote za Serikali za kisheria, na alipojibu ni sawa na hoja ya mtoto wa darasa la saba.
Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023
Pia soma:
Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna mkataba wowote ulioingiwa