Balozi Dkt. Slaa: Hoja za Jaji Feleshi kuhusu mkataba wa Bandari ni sawa hoja za mtoto wa darasa la saba

Balozi Dkt. Slaa: Hoja za Jaji Feleshi kuhusu mkataba wa Bandari ni sawa hoja za mtoto wa darasa la saba

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Ingekuwa nchi zinazoheshimu taratibu na sheria, Serikali hii leo labda Rais tumsamehe, hatua zingechukuliwa kuwawajibisha baadhi ya watu.

Sasa hilo linashindikana kwa sababu Rais mwenyewe amesaini. Katika miaka yangu 15 Bungeni sijawahi kuona Rais akitoa kitu kinachofanana na Power of Attorney katika jambo kama hili, kwa sababu sasa limeharibika nani atamwajibisha nani.

Sasa tatizo lao kutotumia utaratibu, nitashangaa sana kama Feleshi alikuwa consulted na akamwambia Rais asaini hiyo power of attorney, halafu Waziri anaposaini sina hakika kama alimconsult.

Mimi kichwani bado najiuliza, kwanini ilimchukua wiki moja Feleshi kutokea kujibu hoja zote za Serikali za kisheria, na alipojibu ni sawa na hoja ya mtoto wa darasa la saba.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma:
Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna mkataba wowote ulioingiwa
 
Ingekuwa nchi zinazoheshimu taratibu na sheria, Serikali hii leo labda Rais tumsamehe, hatua zingechukuliwa kuwawajibisha baadhi ya watu.

Sasa hilo linashindikana kwa sababu Rais mwenyewe amesaini. Katika miaka yangu 15 Bungeni sijawahi kuona Rais akitoa kitu kinachofanana na Power of Attorney katika jambo kama hili, kwa sababu sasa limeharibika nani atamwajibisha nani.

Sasa tatizo lao kutotumia utaratibu, nitashangaa sana kama Feleshi alikuwa consulted na akamwambia Rais asaini hiyo power of attorney, halafu Waziri anaposaini sina hakika kama alimconsult.

Mimi kichwani bado najiuliza, kwanini ilimchukua wiki moja Feleshi kutokea kujibu hoja zote za Serikali za kisheria, na alipojibu ni sawa na hoja ya mtoto wa darasa la saba.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Jaji Felelshi hakushirikishwa aligoma zamani tu , aliyemshauri Sami ni Mwanasheria wake binafsi Jaji Masaju
 
MUNGU akulinde Dr Slaa kwa maelezo makini ,kadhalika,bila kutumia ukakasi wa maneno katika kufikisha ujumbe wako kwa watanzania.

Hakika unajua kuchagua maneno ya kuzungumza,mamlaka zimebaki uchi wa mnyama
 
Feleshi hajatwambia Hadi sasa kwann sahihi yake haipo pale!!!

Mikataba mingi enzi za mtemi chenge lazima angesaini!!!
Kama hakuna saini ya Feleshi na huo ndio huwaga utaratibu basi mkataba huo ni batili
 
Dr. Mihogo is trying to correct himself. Fursa imejileta yenyewe Dr kujisahihisha.

Go on Dr.
 
Ingekuwa nchi zinazoheshimu taratibu na sheria, Serikali hii leo labda Rais tumsamehe, hatua zingechukuliwa kuwawajibisha baadhi ya watu.

Sasa hilo linashindikana kwa sababu Rais mwenyewe amesaini. Katika miaka yangu 15 Bungeni sijawahi kuona Rais akitoa kitu kinachofanana na Power of Attorney katika jambo kama hili, kwa sababu sasa limeharibika nani atamwajibisha nani.

Sasa tatizo lao kutotumia utaratibu, nitashangaa sana kama Feleshi alikuwa consulted na akamwambia Rais asaini hiyo power of attorney, halafu Waziri anaposaini sina hakika kama alimconsult.

Mimi kichwani bado najiuliza, kwanini ilimchukua wiki moja Feleshi kutokea kujibu hoja zote za Serikali za kisheria, na alipojibu ni sawa na hoja ya mtoto wa darasa la saba.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma:
Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna mkataba wowote ulioingiwa
Ingekuwa nchi zinazoheshimu taratibu na sheria, Serikali hii leo labda Rais tumsamehe, hatua zingechukuliwa kuwawajibisha baadhi ya watu.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom